Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RIPOTI YA UKAGUZI: CCM, Chadema zapata hati zenye mashaka

>Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) vimepata hati zenye mashaka katika ukaguzi wa hesabu zake, uliofanywa na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kwa kipindi cha mwaka wa fedha ulioishia Juni 2013.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

CCM yapata hati ya mashaka

SIKU chache baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kukiri kupokea hati ya mashaka kutoka kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na kumtaka aweke hadharani...

 

9 years ago

Habarileo

Wilaya zenye njaa Dom zapata chakula

WANANCHI wa mkoa wa Dodoma watanufaika na tani 1,050 za chakula zilizotolewa na Ofisi ya Waziri Mkuu ambazo zitauzwa kwa bei nafuu na nyingine kugawiwa bure katika kukabiliana na baa la njaa katika wilaya zake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ndoa zenye mashaka

NDOA ni ukamilifu wa makubaliano ya muungano wa mwanamke na mwanamme kuishi pamoja kama mume na mke kulingana na sheria, mila au desturi za sehemu fulani. Upo msemo pia usemao...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ndoa zenye mashaka (3)

TAMAA, yaani hamu kubwa ya kupata kitu, shauku na upo msemo usemao ‘…tamaa mbele mauti nyuma’. Tamaa niizungumziayo ni ile ya kupita kiasi ama kwa nia fulani isiyotokana na mapenzi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ndoa zenye mashaka (10)

VIKUNDI vya ushawishi vipo vya aina mbalimbali ambavyo vinaweza kuonekana ni vya kawaida sana, bali vipo vile ambavyo ni vya upotovu. Vikundi hivi vya watu, yaani marafiki wa zamani kabla...

 

11 years ago

Mwananchi

Ripoti ya CAG kuzigusa Chadema, CCM

Bunge la Bajeti linaanza vikao vyake kesho mjini Dodoma na moja ya kazi zake zitakazovuta hisia za wengi ni Ripoti ya Mwaka 2012/13 ya Mashirika ya Umma na Taasisi za Serikali itakayowasilishwa na Ofisi ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Michuzi

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu Wa Hesabu za Serikali awasilisha bungeni ripoti ya ukaguzi


Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu Wa Hesabu za Serikali Ndugu Ludovick S.L.Utouh akizungumza na waandishi wa habari(hawako)pichani kuhusu mambo muhimu yaliyopo kwenye ripoti ya ukaguzi wa hesabu ya Mwaka wa fedha ulioishia Juni 30 2013 kama ilivyo wasilishwa Bungeni Tarehe 7 Mei,2014. Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu Wa Hesabu za Serikali Ndugu Ludovick S.L.Utouh akiwa katika picha ya pamoja na wataalam alioongozana nao. Sehemu ya vitabu vyenye ripoti hiyo. Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu Wa Hesabu za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani