Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ripoti ya CAG kuzigusa Chadema, CCM

Bunge la Bajeti linaanza vikao vyake kesho mjini Dodoma na moja ya kazi zake zitakazovuta hisia za wengi ni Ripoti ya Mwaka 2012/13 ya Mashirika ya Umma na Taasisi za Serikali itakayowasilishwa na Ofisi ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

RIPOTI YA UKAGUZI: CCM, Chadema zapata hati zenye mashaka

>Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) vimepata hati zenye mashaka katika ukaguzi wa hesabu zake, uliofanywa na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kwa kipindi cha mwaka wa fedha ulioishia Juni 2013.

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Tanzania Daima

Ripoti CAG balaa

RIPOTI ya uchunguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG), kuhusu kashfa ya kuchota fedha zaidi ya sh bilioni 200, kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow zilizohifadhiwa katika Benki Kuu...

 

10 years ago

Habarileo

Ripoti ya CAG yaanika madudu

Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa AssadRIPOTI ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad, imetolewa na kuwasilishwa bungeni jana huku ikiendelea kuibua madudu katika matumizi ya fedha.

 

11 years ago

Mwananchi

Ripoti ya CAG yamng’oa meya

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amemtaka Meya wa Manispaa ya Bukoba, Dk Anatory Amani kuachia ngazi baada ya Ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG) kubaini ubadhilifu katika miradi ya halmashauri hiyo na ukiukwaji wa taratibu za kusaini mikataba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Apex wataka ripoti ya CAG

WAFANYAKAZI wa Chama Kilele cha Wakulima wa Tumbaku Tanzania (Apex), wamemtaka Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) kuweka hadharani taarifa ya ukaguzi wa chama hicho kutokana na kuibuka...

 

11 years ago

Mwananchi

Ripoti za CAG, Kamati kuwang’oa mawaziri?

Kuna kila dalili kuwa ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na zile za Kamati za Bunge zinazosimamia fedha za umma, huenda zikawang’oa baadhi ya mawaziri

 

10 years ago

Mwananchi

CAG aagizwa kuwasilisha ripoti ya Escrow

 Sakata la fedha zilizochotwa kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow katika Benki Kuu (BoT), limechukua sura mpya baada ya Kamati ya Bunge ya Fedha za Mashirika ya Umma (PAC) kumwagiza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Fedha za Serikali(CAG) kuwasilisha taarifa ya uchunguzi wa akaunti hiyo mbele ya PAC ifikapo Oktoba 31.

 

10 years ago

Vijimambo

KASHFA YA ESCROW:Ripoti ya CAG yaiva

 Sasa itawasilishwa Bungeni wiki ijayoRipoti ya uchunguzi uliofanywa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuhusu kashfa ya kuchota fedha kwenye Akaunti Maalumu ya Tegeta Escrow Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imekamilika na sasa itawasilishwa bungeni wiki ijayo.

Wakati ripoti hiyo ikisubiriwa, wabunge wameitaka serikali kufunga akaunti za kampuni ya VIP Engineering zilizopo katika Benki ya Mkombozi ili kupisha uchunguzi kwa kuwa kwenye akaunti hiyo kuna baadhi ya wabunge,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani