Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM yapata hati ya mashaka

SIKU chache baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kukiri kupokea hati ya mashaka kutoka kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na kumtaka aweke hadharani...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

RIPOTI YA UKAGUZI: CCM, Chadema zapata hati zenye mashaka

>Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) vimepata hati zenye mashaka katika ukaguzi wa hesabu zake, uliofanywa na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kwa kipindi cha mwaka wa fedha ulioishia Juni 2013.

 

10 years ago

Habarileo

CCM yapata ushindi wa kimbunga Simanjiro

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Simanjiro mkoani Manyara, kimepata viongozi 223 kati ya 281 wa vitongoji na wengine 48 kati ya 55 wa vijiji waliopita bila kupingwa katika uchaguzi wa serikali za mitaa, unaotarajia kufanyika Jumapili.

 

10 years ago

Mwananchi

CCM yapata pigo, nani ataimba kama Komba?

>Mbunge wa Mbinga Magharibi na mkurugenzi wa kundi la uhamasishaji la CCM, Tanzania One Theatre (TOT), Kapteni mstaafu John Komba (61), amefariki dunia jana.

 

5 years ago

CCM Blog

CHADEMA YAPATA MAAFA KILOMBERO,VIONGOZI WAKE WAJIVUA UANACHAMA NA KUHAMIA CCM


Katibu wa Chama cha Mapinduzi CCM Bushiru Ali akimpa mkono  Mbunge wa viti Maalum wa wilaya  ya kilombero Dkt.Getrude Lwakatare  wakati wa ziara yake ya kutembelea miradi mbalimbali ya Chama hicho mkoani Morogoro wengine ni viongozi wa Mkoa wa Chama hicho.
Morogoro TanzaniaVIONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema wilaya ya Kilombero wamejivua uanachama wa Chadema hicho  na kujiunga na Chama cha Mapinduzi CCM.

Waliojivua uanachama wa Chadema ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mashaka — 5

KITABU kinachohakikiwa kinaitwa Mashtaka, kilichotungwa na Elieshi Lema. Katika sehemu hii ya mwisho ya uhakiki, tunaangalia tathmini ya kitabu na hitimisho. Endelea… Tathmini ya kitabu Nimpongeze mwandishi kwa hadithi ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mashaka -3

WIKI iliyopita katika uhakiki wa wa kitabu hiki cha Mashtaka kilichotungwa na Elieshi Lema, tuliangalia muhtasari wa kitabu. Sasa endelea… Sura ya pili ambayo ni Kisa, tunaendelea kufunuliwa juu ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mashaka — 4

KITABU kinachohakikiwa kinaitwa Mashtaka, kilichotungwa na Elieshi Lema. Wiki iliyopita tuliangalia muhtasari wa kitabu na leo tunaendelea na kipengele hicho. Watoto kupigwa hadi kufa kwa kuiba shilingi mia moja ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ndoa zenye mashaka (3)

TAMAA, yaani hamu kubwa ya kupata kitu, shauku na upo msemo usemao ‘…tamaa mbele mauti nyuma’. Tamaa niizungumziayo ni ile ya kupita kiasi ama kwa nia fulani isiyotokana na mapenzi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ndoa zenye mashaka

NDOA ni ukamilifu wa makubaliano ya muungano wa mwanamke na mwanamme kuishi pamoja kama mume na mke kulingana na sheria, mila au desturi za sehemu fulani. Upo msemo pia usemao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani