Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM yapata ushindi wa kimbunga Simanjiro

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Simanjiro mkoani Manyara, kimepata viongozi 223 kati ya 281 wa vitongoji na wengine 48 kati ya 55 wa vijiji waliopita bila kupingwa katika uchaguzi wa serikali za mitaa, unaotarajia kufanyika Jumapili.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

MWIGULU NCHEMBA ATUA KWA WAMASAI SIMANJIRO,OPERATION YAKE YA KATA KWA KATA NI USHINDI WA KIMBUNGA KWA CCM

Mjumbe wa timu ya Ushindi ya Chama cha Mapinduzi Ndg.Mwigulu Nchemba akiwasili Jimbo la Simanjiro na kupokelewa na Mbunge mtarajiwa wa Jimbo hilo Ndg.Ole Sendeka mapema hii leo.Mwigulu Nchemba akimnadi Ole sendeka kwa wananchi wake,Kubwa ni Ujasiri wa Ole sendeka kwenye kutetea maslahi ya taifa,Ufuatiliaji wa Miradi ya maendeleo kama barabara zinazokwenda kujengwa kwa kiwango cha rami kuunganisha na mikoa inayopakana na SImanjiro.Ole Sendeka akizungumza na Wananchi wake wa kata ya Engesbert...

 

10 years ago

Habarileo

Masasi waipa CCM ushindi wa kimbunga

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Masasi kimeendelea kufanya vizuri katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji huku baadhi ya vyama vya upinzani wilayani humo, vikikiri kuwa bado ni vigumu kukiondoa madarakani chama tawala.

 

11 years ago

Mwananchi

UCHAGUZI MKUU SIMBA: Aveva apata ushindi wa kimbunga

>Evans Aveva ameula baada ya kuchaguliwa kuwa Rais mpya wa klabu ya Simba katika uchaguzi mkuu uliofanyika jana kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Bwalo la Polisi, Oysterbay jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

BBCSwahili

Man United yapata ushindi dhidi ya Villa

Kilabu ya Manchester United iliendelea na rekodi yake nzuri katika uwanja wa Villa Park baada ya kuishinda Aston Villa 1-0 bao lililofungwa na Adnan Januzaj ambaye alianzishwa licha ya kuhusishwa na uhamisho wa mkopo

 

10 years ago

Michuzi

TBL YAPATA USHINDI WA USALAMA NA USAFI WA MAZINGIRA

 Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Raymond Mushi (kushoto), akikabidhi Cheti cha ushindi wa kwanza kwa Meneja Usalama na Mazingira wa kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Renatus Nyanda, kutambua mchango wa TBL kutunza mazingira, wakati wa kilele cha Wiki ya Mazingira, iliyofanyika Dar es Salaam hivi karibuni. Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), baada ya kushiriki katika zoezi la usafi wa mazingira katika soko la...

 

9 years ago

Habarileo

CCM yang’ara Simanjiro

DIWANI wa Kata ya Langai wilayani Simanjiro Mkoa wa Manyara, Jackson Sipitek (CCM) amechaguliwa na madiwani kuwa Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo kwa kipindi cha miaka mitano ya 2015 hadi 2020.

 

11 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AUNGURUMA ORKESUMENT SIMANJIRO, LEO KUPASUA MERERANI

Wananchi wa Kijiji cha Kitwai A wakiwa wamenyoosha mikono juu,kwenye mkutano wa hadhara,wakati Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana alipokuwa akimuunga mkono jambo Mbunge wa jimbo la Simanjiro,Mh Christopher Ole Sendeka,katika suala zima la Utekelezaji wa Ilani ya CCM.
Pichani mbele ye bango kulia ni jengo la Mama na Mtoto la kituo cha Afya Orkesument,Wilayani Simanjiro,ambalo pia Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana alikagua na kujionea ujenzi wake. Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana...

 

9 years ago

Michuzi

MCHAKAMCHAKA WA MWIGULU NCHEMBA WATUA SIMANJIRO,KONDOA NA KITETO,CCM YAENDELEA KUUNGWA MKONO KWA KISHINDO

Mjumbe wa timu ya Ushindi ya Chama cha Mapinduzi Ndg.Mwigulu Nchemba akiwasili Jimbo la Simanjiro na kupokelewa na Mbunge mtarajiwa wa Jimbo hilo Ndg.Ole Sendeka mapema hii leo.Mwigulu Nchemba akimnadi Ole sendeka kwa wananchi wake,Kubwa ni Ujasiri wa Ole sendeka kwenye kutetea maslahi ya taifa,Ufuatiliaji wa Miradi ya maendeleo kama barabara zinazokwenda kujengwa kwa kiwango cha rami kuunganisha na mikoa inayopakana na SImanjiro.Ole Sendeka akizungumza na Wananchi wake wa kata ya Engesbert...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani