Masasi waipa CCM ushindi wa kimbunga
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Masasi kimeendelea kufanya vizuri katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji huku baadhi ya vyama vya upinzani wilayani humo, vikikiri kuwa bado ni vigumu kukiondoa madarakani chama tawala.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo12 Dec
CCM yapata ushindi wa kimbunga Simanjiro
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Simanjiro mkoani Manyara, kimepata viongozi 223 kati ya 281 wa vitongoji na wengine 48 kati ya 55 wa vijiji waliopita bila kupingwa katika uchaguzi wa serikali za mitaa, unaotarajia kufanyika Jumapili.
9 years ago
Vijimambo01 Oct
MWIGULU NCHEMBA ATUA KWA WAMASAI SIMANJIRO,OPERATION YAKE YA KATA KWA KATA NI USHINDI WA KIMBUNGA KWA CCM
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xft1/v/t1.0-9/12036905_430927110442856_6921933778456533235_n.jpg?oh=680c0b5019224d69291c98acd21f1707&oe=5690F77A)
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpt1/v/t1.0-9/11059903_430927090442858_6669654298054949432_n.jpg?oh=4a5c0f7f536b69af1107c0f3fb9a26c7&oe=56A609E0)
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-9/12074830_430927220442845_5827432687429168397_n.jpg?oh=8502241df820530365c813950e7c50f6&oe=56A004C4)
11 years ago
Mwananchi30 Jun
UCHAGUZI MKUU SIMBA: Aveva apata ushindi wa kimbunga
10 years ago
Habarileo17 Dec
Kondoa waipa uzito CCM
MATOKEO ya Uchaguzi wa Serikali ya Mitaa katika Wilaya ya Kondoa Mkoa wa Dodoma, yanaonesha kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeongoza katika vijiji na vitongoji vingi.
9 years ago
Mwananchi22 Dec
CCM kidedea Masasi, Ludewa
9 years ago
Mwananchi21 Dec
CUF kicheko Masasi, CCM Ludewa
9 years ago
Global Publishers21 Dec
CCM yanyakua ubunge jimbo la Masasi
Mbunge Mteule wa Jimbo la Masasi kwa tiketi ya CCM, Bw. Rashid Chuachua.
Chama cha Mapinduzi kimeweza kutetea jimbo lake la Masasi katika uchaguzi ulifanyika jana baada ya kuahirishwa Okt. 25 mwaka huu kutokana na kifo cha aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo hilo kupitia chama cha NLD, Dkt. Emamanuel Makaidi kufariki Dunia huko Nyangao mkoani Lindi.
Kwa mujibu wa matokeo ya uchaguzi huo yaliyotangazwa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya jimbo la Masasi, Fortunatus Kagoro amesema kuwa Bw. Rashid...
9 years ago
Habarileo22 Dec
CCM washinda ubunge Masasi, Ludewa wanukia
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kutamba katika chaguzi ndogo baada ya kushinda katika Jimbo la Masasi mkoani Mtwara huku ikiwa na kila dalili ya kutangazwa mshindi Ludewa mkoani Njombe.
9 years ago
Habarileo20 Nov
Katibu Chadema jimbo la Masasi ahamia CCM
KATIBU wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) jimbo la Masasi, Faraji Mangochi amekihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) huku akihusika kwa nguvu katika kampeni za uchaguzi mdogo jimboni humo.