Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Man United yapata ushindi dhidi ya Villa

Kilabu ya Manchester United iliendelea na rekodi yake nzuri katika uwanja wa Villa Park baada ya kuishinda Aston Villa 1-0 bao lililofungwa na Adnan Januzaj ambaye alianzishwa licha ya kuhusishwa na uhamisho wa mkopo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wenger afurahia ushindi dhidi ya Man Utd

Arsene Wenger amesema alifurahishwa sana na uchezaji wa timu yake na kueleza kuwa walishangaza Manchester United kuanzia mwanzo wa mechi.

 

10 years ago

Bongo5

Man United yapata pigo baada ya beki wake Luke Shaw kuvunjika mguu

Manchester United imepata pigo baada ya beki wake wa kushoto, Luke Shaw kuvunjika mguu. Kutokana na majeraha hayo, mchezaji huyo atakuwa nje ya uwanja kwa kipindi cha miezi sita. Luke aliumua kwenye mchezo wa jana wa ligi ya mabingwa Ulaya dhidi ya wenyeji PSV nchini Uholanzi. Katika mchezo huo United ililala 2-1. Shaw alimwaga machozi […]

 

9 years ago

MillardAyo

Enjoy dakika nne za ushindi wa kwanza wa Chelsea bila Mourinho na kipigo cha Man United Old Trafford (+Video)

Jumamosi ya December 19 zimechezwa mechi saba za Ligi Kuu Uingereza, michezo ambayo ilikuwa inatajwa kuwa na mvuto zaidi ni mchezo kati ya Chelsea dhidi ya Sunderland. Huu ulikuwa na mvuto kwa sababu ndio mchezo wa kwanza wa Chelsea kucheza bila kuwepo kwa aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo Jose Mourinho.Chelsea imefanikiwa kuifunga Sunderland kwa jumla […]

The post Enjoy dakika nne za ushindi wa kwanza wa Chelsea bila Mourinho na kipigo cha Man United Old Trafford (+Video) appeared first on...

 

9 years ago

BBCSwahili

MOJA KWA MOJA:Watford dhidi ya Man United

Baada ya mapumziko ya wiki moja,ligi ya Uingereza inaendelea wikendi hii ambapo Manchester United inamenyana na Watford.

 

9 years ago

BBC

Newcastle United 1-1 Aston Villa

A superb goal from Ghana's Jordan Ayew earns Premier League bottom club Aston Villa a 1-1 draw at Newcastle.

 

10 years ago

BBC

Newcastle United 1-0 Aston Villa

Senegal striker Papiss Cisse scores his 11th goal of the season to give John Carver his first home win as Newcastle.

 

10 years ago

Habarileo

CCM yapata ushindi wa kimbunga Simanjiro

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Simanjiro mkoani Manyara, kimepata viongozi 223 kati ya 281 wa vitongoji na wengine 48 kati ya 55 wa vijiji waliopita bila kupingwa katika uchaguzi wa serikali za mitaa, unaotarajia kufanyika Jumapili.

 

11 years ago

GPL

TEAM LINEUPS: MANCHESTER UNITED, ASTON VILLA

Manchester United:  De Gea; Rafael, Jones, Vidic, Buttner; Young, Fellaini, Fletcher, Kagawa; Mata, Rooney. Subs:  Amos, Giggs, Chicharito, Carrick, Nani, Welbeck, Januzaj. Aston Villa:  Guzan, Bacuna, Vlaar, Clark, Bertrand, Westwood, Delph, Albrighton, Weimann, Benteke, Agbonlahor. Subs: Steer, Sylla, Holt, Tonev, Bennett, Robinson, Lowton. ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani