Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Roboti zasimamisha magari DRC

Je roboti kubwa zenye sauti kubwa na mikono mikubwa zinaweza kuwa jibu la kupunguza msongamanao wa magari barabarani?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ROBOTI LAMUUA MFANYAKAZI KIWANDA CHA MAGARI CHA VOLKSWAGEN UJERUMANI

Hiki ni moja ya viwanda vinavyotengeneza magari aina ya Volkswagen nchini Ujerumani. Roboti zikichomelea magari katika kiwanda cha Volkswagen. Hapa ndipo mfanyakazi wa Volkswagem alipofariki kwa kuuawa na roboti kaskazini mwa jiji la Frankfurt, Ujerumani. Frankfurt, Ujeruman ROBOTI moja iliyokosa…

 

11 years ago

Mwananchi

Vurugu zasimamisha shughuli Mwanza

Polisi na wafanyabiashara ndogondogo, wamachinga jijini Mwanza jana walipambana kwa saa sita na kusababisha uharibifu mkubwa wa mali, huku shughuli za kijamii na kiuchumi zikisimama.

 

11 years ago

Michuzi

Tamasha la Magari Tanzania (Autofest) limerudi na Matoleo Mapya ya Magari

Likirudi kwa mwaka wake wa saba, tamasha la magari Tanzania (autofest) litakua likionyesha magari mapya, matoleo mapya ya pikipiki, burudani za muziki kutoka kwa wasanii mbalimbali wa nchini na burudani nyingine za kusisimua kwa ajili ya familia nzima kuanzia Septemba 19-21, 2014. Tamasha la mwaka huu ambalo linaandaliwa na Vision Investment, litafanyika katika viwanja vya Biafra, Kinondoni. Anayetarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi ni Mhe. Dk Abdallah O. Kigoda, Waziri wa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Ajira zitakazochukuliwa na roboti

Je, Teknolojia imekuwa ikichukua kazi za mikono kwa miaka kadhaa sasa?Lakini ni kazi gani ambazo roboti itazinyakua katika miaka ya baadaye.

 

11 years ago

Mwananchi

Roboti kupunguza foleni D’ Salaam

Matumizi ya roboti katika kuongoza magari imeelezwa kwamba inaweza kusaidia kukabiliana na tatizo la foleni za magari Jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

BBCSwahili

Roboti yamuua mfanyikazi wa Volkswagen

Mfanyikazi mmoja katika kiwanda cha kutengeza magari aina ya Volkswagen nchini Ujerumani amefariki baada ya roboti kum'beba na kumuangusha katika chuma

 

10 years ago

BBCSwahili

Roboti kuchukua kazi za raia Uingereza

Zaidi ya thuluthi moja ya ajira nchini Uingereza ziko katika hatari ya kuchukuliwa na roboti katika kipindi cha miaka 20 ijayo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Roboti kuchukua kazi za raia Australia

Takriban asilimia 40 ya kazi nchini Australia ambazo zipo kwa sasa huenda zikapotea katika kipindi cha kati ya miaka 10 hadi 15 ijayo

 

9 years ago

Habarileo

Wengi wapasuliwa kwa njia ya roboti

IMEELEZWA kuwa Watanzania wengi wanaosumbuliwa na magonjwa ya saratani ya kichwa, shingo ya kizazi na mfumo wa mkojo wamekuwa wakipatiwa matibabu katika Hospitali ya Apollo nchini India kwa kutumia upasuaji kwa njia ya roboti.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani