Roboti zasimamisha magari DRC
Je roboti kubwa zenye sauti kubwa na mikono mikubwa zinaweza kuwa jibu la kupunguza msongamanao wa magari barabarani?
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YTFvh9JoYPGzAIzMbVRRhvw*db2db-49iWs9yiiqzAvboPf6JnNP3uD*tZCMZhpBF9UizWNLm*xdE5LRQJUXeDxV3CZCFetF/ws.jpg?width=650)
ROBOTI LAMUUA MFANYAKAZI KIWANDA CHA MAGARI CHA VOLKSWAGEN UJERUMANI
Hiki ni moja ya viwanda vinavyotengeneza magari aina ya Volkswagen nchini Ujerumani. Roboti zikichomelea magari katika kiwanda cha Volkswagen. Hapa ndipo mfanyakazi wa Volkswagem alipofariki kwa kuuawa na roboti kaskazini mwa jiji la Frankfurt, Ujerumani. Frankfurt, Ujeruman ROBOTI moja iliyokosa…
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Vurugu zasimamisha shughuli Mwanza
Polisi na wafanyabiashara ndogondogo, wamachinga jijini Mwanza jana walipambana kwa saa sita na kusababisha uharibifu mkubwa wa mali, huku shughuli za kijamii na kiuchumi zikisimama.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-fWyZFEZucHg/U-sxP-7Rg2I/AAAAAAAF_IE/dQULh-NCqKI/s72-c/unnamed%2B(93).jpg)
Tamasha la Magari Tanzania (Autofest) limerudi na Matoleo Mapya ya Magari
![](http://2.bp.blogspot.com/-fWyZFEZucHg/U-sxP-7Rg2I/AAAAAAAF_IE/dQULh-NCqKI/s1600/unnamed%2B(93).jpg)
9 years ago
BBCSwahili14 Sep
Ajira zitakazochukuliwa na roboti
Je, Teknolojia imekuwa ikichukua kazi za mikono kwa miaka kadhaa sasa?Lakini ni kazi gani ambazo roboti itazinyakua katika miaka ya baadaye.
11 years ago
Mwananchi14 Mar
Roboti kupunguza foleni D’ Salaam
Matumizi ya roboti katika kuongoza magari imeelezwa kwamba inaweza kusaidia kukabiliana na tatizo la foleni za magari Jijini Dar es Salaam.
10 years ago
BBCSwahili02 Jul
Roboti yamuua mfanyikazi wa Volkswagen
Mfanyikazi mmoja katika kiwanda cha kutengeza magari aina ya Volkswagen nchini Ujerumani amefariki baada ya roboti kum'beba na kumuangusha katika chuma
10 years ago
BBCSwahili14 Nov
Roboti kuchukua kazi za raia Uingereza
Zaidi ya thuluthi moja ya ajira nchini Uingereza ziko katika hatari ya kuchukuliwa na roboti katika kipindi cha miaka 20 ijayo.
10 years ago
BBCSwahili17 Jun
Roboti kuchukua kazi za raia Australia
Takriban asilimia 40 ya kazi nchini Australia ambazo zipo kwa sasa huenda zikapotea katika kipindi cha kati ya miaka 10 hadi 15 ijayo
9 years ago
Habarileo18 Oct
Wengi wapasuliwa kwa njia ya roboti
IMEELEZWA kuwa Watanzania wengi wanaosumbuliwa na magonjwa ya saratani ya kichwa, shingo ya kizazi na mfumo wa mkojo wamekuwa wakipatiwa matibabu katika Hospitali ya Apollo nchini India kwa kutumia upasuaji kwa njia ya roboti.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania