Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Roboti yamuua mfanyikazi wa Volkswagen

Mfanyikazi mmoja katika kiwanda cha kutengeza magari aina ya Volkswagen nchini Ujerumani amefariki baada ya roboti kum'beba na kumuangusha katika chuma

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ROBOTI LAMUUA MFANYAKAZI KIWANDA CHA MAGARI CHA VOLKSWAGEN UJERUMANI

Hiki ni moja ya viwanda vinavyotengeneza magari aina ya Volkswagen nchini Ujerumani. Roboti zikichomelea magari katika kiwanda cha Volkswagen. Hapa ndipo mfanyakazi wa Volkswagem alipofariki kwa kuuawa na roboti kaskazini mwa jiji la Frankfurt, Ujerumani. Frankfurt, Ujeruman ROBOTI moja iliyokosa…

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola yamuua daktari Marekani

Daktari Martin Salia kutoka nchini Sierra Leone aliyekuwa anapokea matibabu ya Ebola nchini Marekani amefariki.

 

10 years ago

BBCSwahili

IS yamuua mateka mwengine wa Japan

Japan imelishtumu kundi la wanamgambo la Islamic State ambalo limetoa kanda ya video inayoonyesha mauaji ya mateka Kenjo Goto.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Pombe yamuua fundi umeme

WATU wawili wamefariki dunia katika matukio mawili tofauti yaliyotokea juzi jijini Dar es Salaam, likiwemo la fundi umeme aliyekutwa chumbani kwake. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kindondoni, Camilius Wambura ,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Majambazi yamuua Sista kwa risasi Dar

WATU watatu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi, wamemuua kwa kumpiga risasi mtawa wa Kanisa Katoliki, Sista Clezensia Kapuli ambaye ni mhasibu wa Shule ya Sekondari Mwenyeheri Anuwarite, iliyopo Ubungo Makoka jijini...

 

10 years ago

BBCSwahili

Volkswagen kuikabili Mercedes F1

Kampuni ya Volkswagen ya pili kwa utengenezaji magari duniani,yajipanga kuingia Formula one kuikabili Mercedes

 

9 years ago

BBCSwahili

Masaibu ya VolksWagen yaongezeka

Korea Kusini imetoa ilani ya kufanya uchunguzi upya magari yanayotengenezwa na VolksWagen kufuatia ufichuzi huo huko Marekani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Magari ya Volkswagen yachafua mazingira

Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya magari ya Volkswagen ameomba msamaha baada ya wasanifu nchini Marekani kusema baadhi ya magari yake yamekuwa yakichafua mazingira.

 

9 years ago

TheCitizen

Volkswagen needs more than a year to fix all cars

Volkswagen’s new boss said yesterday it would take more than a year to fix all its cars fitted with pollution cheating devices, as the German auto giant scrambled to put its biggest crisis behind it.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani