Magari ya Volkswagen yachafua mazingira
Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya magari ya Volkswagen ameomba msamaha baada ya wasanifu nchini Marekani kusema baadhi ya magari yake yamekuwa yakichafua mazingira.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili07 Oct
Volkswagen kurekebisha magari yake
Kampuni ya magari ya Volkswagen imesema magari yaken yaliayoathirika na sakata ya gesi chafu yatafanyiwa marekebisho.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YTFvh9JoYPGzAIzMbVRRhvw*db2db-49iWs9yiiqzAvboPf6JnNP3uD*tZCMZhpBF9UizWNLm*xdE5LRQJUXeDxV3CZCFetF/ws.jpg?width=650)
ROBOTI LAMUUA MFANYAKAZI KIWANDA CHA MAGARI CHA VOLKSWAGEN UJERUMANI
Hiki ni moja ya viwanda vinavyotengeneza magari aina ya Volkswagen nchini Ujerumani. Roboti zikichomelea magari katika kiwanda cha Volkswagen. Hapa ndipo mfanyakazi wa Volkswagem alipofariki kwa kuuawa na roboti kaskazini mwa jiji la Frankfurt, Ujerumani. Frankfurt, Ujeruman ROBOTI moja iliyokosa…
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Rwanda yazindua magari rafiki kwa mazingira
Rwanda yazindua magari yanayotumia umeme ambayo ni rafiki kwa mazingira ya nchini humo.
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
Cecafa yachafua hali ya hewa Machakos
UAMUZI wa Baraza la Soka kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), kuhamisha mechi ya nusu fainali ya Kombe la Chalenji kati ya Kenya ‘Harambee Stars’ na Tanzania ‘Kili...
10 years ago
BBCSwahili05 Dec
Volkswagen kuikabili Mercedes F1
Kampuni ya Volkswagen ya pili kwa utengenezaji magari duniani,yajipanga kuingia Formula one kuikabili Mercedes
9 years ago
BBCSwahili22 Sep
Masaibu ya VolksWagen yaongezeka
Korea Kusini imetoa ilani ya kufanya uchunguzi upya magari yanayotengenezwa na VolksWagen kufuatia ufichuzi huo huko Marekani.
9 years ago
TheCitizen08 Oct
Volkswagen needs more than a year to fix all cars
Volkswagen’s new boss said yesterday it would take more than a year to fix all its cars fitted with pollution cheating devices, as the German auto giant scrambled to put its biggest crisis behind it.
10 years ago
BBCSwahili02 Jul
Roboti yamuua mfanyikazi wa Volkswagen
Mfanyikazi mmoja katika kiwanda cha kutengeza magari aina ya Volkswagen nchini Ujerumani amefariki baada ya roboti kum'beba na kumuangusha katika chuma
9 years ago
BBCSwahili26 Sep
Volkswagen zapigwa marufuku Uswizi
Taifa la Uswizi limepiga marufuku kuuzwa kwa magari aina ya Volkswagen ambayo yana mitambo ya iliyotengenezwa kudanganya majaribio ya gesi chafu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania