BAADHI YA WANA HARAKATI WA DODOMA WAKIMJULIA HALI MWANAFUNZI WA UDOM ALIYEVUNJIKA MGUU
Mr Dannis akiwa na Msouth kato baada ya kumtembelea kijana ambaye ni mwanafunzi wa Udom aliyepata majanga ya kuvunjika mguu baada ya kuruka kwenye gari na kutaka kuwakwepa Polisi waliokuwa wanahakikisha usalama unapatikana katika chuo hicho cha Udom kutokana na baadhi ya wanafunzi kuwashawishi wanzao kufanya maandamano yasiyokuwa ya Maani kutokana na kile kinachodaiwa kutopata Mkopo kwa muda unaostahili
Kijana ambaye ni mwanafunzi wa Udom anayefahamika kwa jina la Iddy aliyepata masaibu baada...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UdapVcRNixvQyOrPXIx1FO*aYl17atrRdRVR75h15cFOfC-J4qx4aQiqw7hTsi0DkM3OXfGF076ARPx1cWWq*UA3t0Tme5xA/IMG20150116WA0001.jpg)
KIJANA ALIYEVUNJIKA MGUU KATIKA VURUGU ZA UDOM APATIWA MSAADA
11 years ago
Habarileo20 Mar
Mwanafunzi UDOM ajitupa ghrofani
MWANAFUNZI Chuo Kikuu cha Dodoma ( UDOM), Kitivo cha Sayansi ya Jamii, Kamugisha Isack anatarajiwa kufikishwa mahakamani kujibu tuhuma za kutaka kujiua.
11 years ago
Habarileo20 Mar
Mwanafunzi UDOM ajaribu kujiua
MWANAFUNZI Chuo Kikuu cha Dodoma ( UDOM), Kitivo cha Sayansi ya Jamii, Kamugisha Isack anatarajiwa kufikishwa mahakamani kujibu tuhuma za kutaka kujiua.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DKap6Y07kzY/Xs5qCYGehwI/AAAAAAALruw/02mPbjQs2UkagrMONEX4G75IjBrnF0MSgCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
MWANAFUNZI ALIYEKATWA MGUU AOMBA MSAADA WA MASOMO
NA BALTAZAR MASHAKA, MWANZA
MWANAFUNZI wa darasa la tano katika Shule ya Msingi Katoba ya wilayani Muleba, Aristidia John, amepata msaada wa baiskeli ya magurudumu matatu (Wheerchair).
Baiskeli hiyo iliyotolewa na taasisi ya The Desk & Chair Foundation ili kumrahisishia usafiri ilikabidhiwa jana kwa mtoto huyo na Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Mwanza (MPC) .
Aristidia ambaye ni mwanafunzi wa darasa la tano katika Shule ya Msingi Katoba wilayani Muleba, alifanyiwa...
10 years ago
Habarileo27 Sep
Mwanafunzi UDOM jela miaka sita
MWANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Melkiad Kabunduguru (28) amehukumiwa kifungo cha miaka sita jela baada ya kupatikana na hatia ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na kukutwa na noti bandia.
11 years ago
Mwananchi24 Jun
Makahaba Dodoma wanavyokitumia Udom kujinadi
10 years ago
Michuzi15 Jan
Polisi Mkoa wa Dodoma inawashikilia wanafunzi 84 wa chuo Kikuu UDOM kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani Chuoni na kufanya maandamano haramu kutoka Chuoni kuelekea katika Ofisi mbalimbali za viongozi wa Serikali zilizopo Dodoma Mjini
![](https://2.bp.blogspot.com/-Nlbme-No0hU/VLaASBbyRmI/AAAAAAADL6M/WOhgf4mDRQc/s1600/6.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-AQu2fkOQeaw/VLaAQNE7pUI/AAAAAAADL6I/-6Z4UmatMDk/s1600/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Picha inavyoweza wasilisha hali ya njaa kwa baadhi ya watu
10 years ago
Michuzi07 Nov