Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanafunzi UDOM ajitupa ghrofani

MWANAFUNZI Chuo Kikuu cha Dodoma ( UDOM), Kitivo cha Sayansi ya Jamii, Kamugisha Isack anatarajiwa kufikishwa mahakamani kujibu tuhuma za kutaka kujiua.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mwanafunzi UDOM ajaribu kujiua

MWANAFUNZI Chuo Kikuu cha Dodoma ( UDOM), Kitivo cha Sayansi ya Jamii, Kamugisha Isack anatarajiwa kufikishwa mahakamani kujibu tuhuma za kutaka kujiua.

 

10 years ago

Habarileo

Mwanafunzi UDOM jela miaka sita

MWANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Melkiad Kabunduguru (28) amehukumiwa kifungo cha miaka sita jela baada ya kupatikana na hatia ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na kukutwa na noti bandia.

 

10 years ago

Vijimambo

BAADHI YA WANA HARAKATI WA DODOMA WAKIMJULIA HALI MWANAFUNZI WA UDOM ALIYEVUNJIKA MGUU

Mr Dannis akiwa na Msouth kato baada ya kumtembelea kijana ambaye ni mwanafunzi wa Udom aliyepata majanga ya kuvunjika mguu baada ya kuruka kwenye gari na kutaka kuwakwepa Polisi waliokuwa wanahakikisha usalama unapatikana katika chuo hicho cha Udom kutokana na baadhi ya wanafunzi kuwashawishi wanzao kufanya maandamano yasiyokuwa ya Maani kutokana na kile kinachodaiwa kutopata Mkopo kwa muda unaostahiliKijana ambaye ni mwanafunzi wa Udom anayefahamika kwa jina la Iddy aliyepata masaibu baada...

 

10 years ago

Michuzi

Zaidi ya wanafunzi 60,000 wa UDOM kufurahia Airtel WI-FI - Airtel yazinduzi mnara wa pili UDOM

 Afisa masoko wa Airtel tanzania Prospa Mwanda akionyesha kwa wanafunzi wa chuo Kikuu dodoma (UDOM) jinsi huduma mpya ya Airtel Wi-Fi Intaneti  inavyofanya kazi mara baada ya uzinduzi wa huduma hiyo chuoni hapo jana. Airtel Tanzania chuoni hupo imezindua huduma ya UNI Wi-Fi Intaneti yenye ubora zaidi na itakayopatikana kwa wananfunzi kwa gharama nafuu
 Meneja masoko wa Airtel Uni Wi-Fi Bi Aneth Muga anaepiga picha ya selfie ili waitume kwa kutumia huduma ya Airtel Wi-Fi intaneti kwa baadhi ya...

 

11 years ago

CloudsFM

POLISI AMRUBUNI MWANAFUNZI KUFANYA NAYE MPENZI,AMWACHA CHUMBANI KWAKE,NYUMBA YAKE YAUNGUA MOTO,MWANAFUNZI AFARIKI DUNIA

Wananchi wa Mlangali, Ludewa wakiwa wamekizingira kituo cha polisi Mlangali mara baada ya kuipeleka maiti ya mtoto aliyeteketea kwa moto katika kituo hicho.KIONGOZI wa mbio za mwenge Kitaifa awatuliza wananchi wa Mlangali wilaya ya Ludewa ambao baadhi yao waliandamana kituo cha polisi kushinikiza kutolewa kwa askari polisi aliyedaiwa kusababisha kifo cha mtoto ili auwawe.Kiongozi huyo aliwaomba wananchi wa Mlangali kutokubali kujihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani ikiwa ni pamoja na...

 

11 years ago

Habarileo

Wahadhiri Udom wagoma

WAHADHIRI wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) wamegoma kusimamia mitihani wakishinikiza malipo ya posho za usimamizi wanazodai tangu muhula wa masomo uliopita. Mgomo wa wanataaluma hao wa Shule ya Sayansi ya Jamii katika chuo hicho, umeathiri wanafunzi zaidi ya 2,000 waliokuwa wafanye mtihani jana.

 

9 years ago

AllAfrica.Com

Udom to Honour Kikwete


Udom to Honour Kikwete
AllAfrica.com
Management and students of University of Dodoma (UDOM) have planned a grand reception to honour President Jakaya Kikwete for his support towards the establishment of the university. UDOM Vice-Chancellor, Prof Idris Kikula, made the revelation at the ...

 

10 years ago

Habarileo

Wanafunzi 84 UDOM mbaroni

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David MisimeWANAFUNZI 84 wa Chuo Kikuu UDOM wanashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani chuoni hapo.

 

11 years ago

Habarileo

'Hakuna ukahaba UDOM'

MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), Profesa Idris Kikula, ameeleza namna alivyofuatilia na kubaini wasichana wanaofanya vitendo vya kujiuza mjini hapa, wakijifanya ni wanafunzi wa chuo hicho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani