Wanafunzi 84 UDOM mbaroni
WANAFUNZI 84 wa Chuo Kikuu UDOM wanashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani chuoni hapo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
WANAFUNZI 84 WA UDOM WATIWA MBARONI KWA KUHAMASISHA MAANDAMANO MJINI DODOMA


10 years ago
Michuzi.jpg)
WANAFUNZI 84 WA PROGRAMU MAALUMU YA DIPLOMA YA UALIMU UDOM MBARONI KWA TUHUMA ZA KUHAMASIHA MAANDAMANO MKOANI DODOMA
Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma inawashikilia wanafunzi 84 wa chuo Kikuu UDOM kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani Chuoni na kufanya maandamano haramu kutoka Chuoni kuelekea katika Ofisi mbalimbali za viongozi wa Serikali zilizopo Dodoma Mjini leo tarehe 14.01.2015 majira ya 05:30hrs.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – (SACP) ameeleza kuwa chanzo cha wananfunzi hao wa programu maalum ya...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma inawashikilia wanafunzi 84 wa chuo Kikuu UDOM kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani Chuoni na kufanya maandamano haramu kutoka Chuoni kuelekea katika Ofisi mbalimbali za viongozi wa Serikali zilizopo Dodoma Mjini leo tarehe 14.01.2015 majira ya 05:30hrs.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – (SACP) ameeleza kuwa chanzo cha wananfunzi hao wa programu maalum ya...
10 years ago
Michuzi.jpg)
Zaidi ya wanafunzi 60,000 wa UDOM kufurahia Airtel WI-FI - Airtel yazinduzi mnara wa pili UDOM
.jpg)
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Habarileo20 Jan
TAHLISO yapinga wanafunzi UDOM kufukuzwa
JUMUIYA ya Wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya Juu Nchini (TAHLISO) imeeleza kusikitishwa kwake na kitendo cha kufukuzwa na kusimamishwa masomo baadhi ya viongozi wa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).
10 years ago
Michuzi
Wanafunzi 60,000 wa UDOM kufurahia Airtel WI-FI



10 years ago
GPL
ZAIDI YA WANAFUNZI 60,000 WA UDOM KUFURAHIA AIRTEL WI-FI
Afisa masoko wa Airtel tanzania Prospa Mwanda akionyesha kwa wanafunzi wa chuo Kikuu dodoma (UDOM) jinsi huduma mpya ya Airtel Wi-Fi Intaneti  inavyofanya kazi mara baada ya uzinduzi wa huduma hiyo chuoni hapo jana. Airtel Tanzania chuoni hupo imezindua huduma ya UNI Wi-Fi Intaneti yenye ubora zaidi na itakayopatikana kwa wananfunzi kwa gharama nafuu.… ...
11 years ago
Mwananchi11 Jul
MALALAMIKO: Polisi wazima maandamano ya wanafunzi Udom
>Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni, lililazimika kupiga kambi kwa muda wa saa sita kwenye Jengo la Ofisi ya Bodi ya Mikopo kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) ili kulinda usalama baada ya tetesi za kuwapo maandamano ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom)kwenye ofisi hizo.
11 years ago
Michuzi
WANAFUNZI WA UDOM MWAKA WA MWISHO, WAAHIDI KUJIUNGA NA PPF




10 years ago
GPL
WANAFUNZI UDOM WAGOMA WAKIDAI PESA ZAO ZA MIKOPO KWA AJILI YA KUJIKIMU
Wnafunzi wa UDOM wakiwa katika mgomo wakishinikiza serikali kuwalipa pesa zao za kujikimu. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Galawa akiwatuliza na wanachuo. Wakiwasikiliza Naibu Waziri wa Afya Steven Kebwe na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Galawa.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania