Serikali yaonya siasa za kihuni, vurugu
VYAMA vya siasa nchini vimetakiwa kuendesha siasa za kistaarabu na kutokuwa vyanzo vya vurugu katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambapo kwenye baadhi ya maeneo nchini viongozi wameripotiwa kutekwa wakati wakirejesha fomu huku maeneo mengine watu wakitajwa kuzuia uandikishaji wa wapiga kura.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo25 Dec
Polisi yaonya vurugu Krismasi, Mwaka Mpya
POLISI imeonya juu ya vurugu na vitendo vya uhalifu katika kipindi hiki cha sikukuu za Krismasi na Mwaka mpya, ikisema imejipanga kukabiliana na aina yoyote ya uvunjifu wa amani.
9 years ago
Habarileo19 Sep
UN yaonya vijana na siasa za chuki
UMOJA wa Mataifa (UN) nchini umetahadharisha vijana kuacha kutumiwa katika siasa za chuki na badala yake wawe mabalozi wa amani na wajikite katika kuhubiri amani iliyopo ili iendelee kudumu.
9 years ago
StarTV26 Aug
NEC yaonya vyama vya siasa vitakavyokiuka ratiba za kampeni
![Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2845730/medRes/1101903/-/maxw/600/-/128lqutz/-/kailima.jpg)
Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Kailima Ramadhani
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imevitaka vyama vyote vya siasa vinavyoshiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2015, kuhakikisha vinafuata na kuheshimu ratiba ya uchaguzi waliyojiwekea.Katika taarifa kwa njia ya video iliyotumwa kwa vyombo vya habari, Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Kailima Ramadhani amesema kuwa vyama vyote vilishiriki katika kuandaa ratiba hiyo na kuwa viliiridhia hivyo hawana budi kuhakikisha...
9 years ago
Mwananchi25 Aug
NEC yaonya vyama vya siasa vitakavyokiuka ratiba za kampeni walizojiwekea
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y8Xf2kBXWFm7pzR07UzaVouSIg0h3fXMvWsVREzwWdiZCMX-Uycga5eiJ-EuNVINyFzxxCCv2D39Bq2Acgy1Iygs5PTia6yf/maxresdefault.jpg?width=650)
FA: HAKUNA VURUGU ZA SIASA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Uf5Jdma8M3241BYZfcII5076gpdmu-9P2YI8q0O6YQJRLwIpCwxm5sNQdHu8w9ZEvgM43uoTjbiRq7ExyIWhwyxbTwTDwCPA/BACKUWAZI.jpg?width=650)
VURUGU KWENYE KAMPENI ZA UCHAGUZI HII SIYO SIASA
10 years ago
Habarileo21 Dec
Serikali yaonya daftari la wapigakura
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) William Lukuvi, ameonesha kutoridhishwa na utaratibu mbovu unaotumika kuandikisha wananchi katika daftari la kudumu la wapiga kura, kutokana na kuwa na mianya inayoweza kuingiza wasio raia wa Tanzania.
10 years ago
Habarileo14 Nov
Serikali yaonya wawekezaji feki
SERIKALI imeyaonya baadhi ya kampuni yenye nia ya kuja nchini kwa ajili ya uwekezaji katika sekta ya nishati, kuhakikisha hayashbikii vitendo vya rushwa.
10 years ago
Dewji Blog23 Apr
Serikali yaonya wanaotorosha madini
Mmoja wa wakurugenzi wa kampuni ya Tanzanite One, Hussein Gonga akiwa anamuonyesha Waziri wa Nishati na Madini, Mh. George Simbachawene madini ambayo yanachimbwa na kampuni yao. (Habari picha kwa hisani ya woindeshizza blog).
Na Woinde Shizza, Arusha
Serikali imewataka wachimbaji na wanunuzi wa madini ya Tanzanite nchini, kuacha tabia ya Utoroshaji wa madini hayo nje ya nchi huku,ikiagizwa kuachwa kuuzwa madini ghafi.
Katika kudhibiti biashara hiyo, serikali kwa kushirikiana na kituo cha...