Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yaonya siasa za kihuni, vurugu

Hawa GhasiaVYAMA vya siasa nchini vimetakiwa kuendesha siasa za kistaarabu na kutokuwa vyanzo vya vurugu katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambapo kwenye baadhi ya maeneo nchini viongozi wameripotiwa kutekwa wakati wakirejesha fomu huku maeneo mengine watu wakitajwa kuzuia uandikishaji wa wapiga kura.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Polisi yaonya vurugu Krismasi, Mwaka Mpya

Advera BulimbaPOLISI imeonya juu ya vurugu na vitendo vya uhalifu katika kipindi hiki cha sikukuu za Krismasi na Mwaka mpya, ikisema imejipanga kukabiliana na aina yoyote ya uvunjifu wa amani.

 

9 years ago

Habarileo

UN yaonya vijana na siasa za chuki

UMOJA wa Mataifa (UN) nchini umetahadharisha vijana kuacha kutumiwa katika siasa za chuki na badala yake wawe mabalozi wa amani na wajikite katika kuhubiri amani iliyopo ili iendelee kudumu.

 

9 years ago

StarTV

NEC yaonya vyama vya siasa vitakavyokiuka ratiba za kampeni

Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,

Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Kailima Ramadhani

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imevitaka vyama vyote vya siasa vinavyoshiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2015, kuhakikisha vinafuata na kuheshimu ratiba ya uchaguzi waliyojiwekea.

Katika taarifa kwa njia ya video iliyotumwa kwa vyombo vya habari, Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Kailima Ramadhani amesema kuwa vyama vyote vilishiriki katika kuandaa ratiba hiyo na kuwa viliiridhia hivyo hawana budi kuhakikisha...

 

9 years ago

Mwananchi

NEC yaonya vyama vya siasa vitakavyokiuka ratiba za kampeni walizojiwekea

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imevitaka vyama vyote vya siasa vinavyoshiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2015, kuhakikisha vinafuata na kuheshimu ratiba ya uchaguzi waliyojiwekea.

 

9 years ago

GPL

FA: HAKUNA VURUGU ZA SIASA

Mkongwe wa muziki wa kizazi kipya nchini, Hamis Mwinjuma maarufu kama MwanaFA. Na Mwandishi Wetu MKONGWE wa muziki wa kizazi kipya nchini, Hamis Mwinjuma maarufu kama MwanaFA, amesema pamoja na uchaguzi mkuu wa mwaka huu kuwa na msisimko mkubwa kuliko wakati mwingine wowote, haamini kama kutakuwa na vurugu. Alisema hamasa iliyooneshwa na vijana mwaka huu ni ishara ya watu kukua kiakili na kutambua wajibu na haki zao, akidai...

 

9 years ago

GPL

VURUGU KWENYE KAMPENI ZA UCHAGUZI HII SIYO SIASA

Na Igenga Mtatiro, Tarime Hii siyo siasa! Ndivyo walivyokuwa wakisema watu wengi mjini hapa baada ya hivi karibuni kushuhudia mtu mmoja, Mwita Bhoke Watei (37), mkazi wa Kijiji cha Nyandage, Kata ya Nyanungu, Tarime mkoani hapa, akiuawa kwa kukatwa mapanga katika vurugu za kampeni za uchaguzi zinazoendelea nchini kote kwa sasa......Soma zaidi===>http://bit.ly/1J9g6dp ...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yaonya daftari la wapigakura

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) William Lukuvi akifafanua jambo kwa waandishi wa habari.WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) William Lukuvi, ameonesha kutoridhishwa na utaratibu mbovu unaotumika kuandikisha wananchi katika daftari la kudumu la wapiga kura, kutokana na kuwa na mianya inayoweza kuingiza wasio raia wa Tanzania.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yaonya wawekezaji feki

SERIKALI imeyaonya baadhi ya kampuni yenye nia ya kuja nchini kwa ajili ya uwekezaji katika sekta ya nishati, kuhakikisha hayashbikii vitendo vya rushwa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yaonya wanaotorosha madini

20150422_125009

Mmoja wa wakurugenzi wa kampuni ya Tanzanite One, Hussein Gonga akiwa anamuonyesha Waziri wa Nishati na Madini, Mh. George Simbachawene madini ambayo yanachimbwa na kampuni yao. (Habari picha kwa hisani ya woindeshizza blog).

20150422_125128

Na Woinde Shizza, Arusha

Serikali imewataka wachimbaji na wanunuzi wa madini ya Tanzanite nchini, kuacha tabia ya Utoroshaji wa madini hayo nje ya nchi huku,ikiagizwa kuachwa kuuzwa madini ghafi.

Katika kudhibiti biashara hiyo, serikali kwa kushirikiana na kituo cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani