FA: HAKUNA VURUGU ZA SIASA
![](http://api.ning.com:80/files/Y8Xf2kBXWFm7pzR07UzaVouSIg0h3fXMvWsVREzwWdiZCMX-Uycga5eiJ-EuNVINyFzxxCCv2D39Bq2Acgy1Iygs5PTia6yf/maxresdefault.jpg?width=650)
Mkongwe wa muziki wa kizazi kipya nchini, Hamis Mwinjuma maarufu kama MwanaFA. Na Mwandishi Wetu MKONGWE wa muziki wa kizazi kipya nchini, Hamis Mwinjuma maarufu kama MwanaFA, amesema pamoja na uchaguzi mkuu wa mwaka huu kuwa na msisimko mkubwa kuliko wakati mwingine wowote, haamini kama kutakuwa na vurugu. Alisema hamasa iliyooneshwa na vijana mwaka huu ni ishara ya watu kukua kiakili na kutambua wajibu na haki zao, akidai...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/mPNKZ1VMfhM/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OJskrutNscs/VTTNifAKOfI/AAAAAAAHSFc/063zLPPj2wc/s72-c/_MG_9621.jpg)
HAKUNA MTANZANIA ALIEFARIKI KWA VURUGU ZA AFRIKA KUSINI - MEMBE
SERIKALI imesema hakuna mtanzania aliyepoteza maisha kwa vurugu zinazoendelea nchini Afrika Kusini kutokana na wenyeji wa nchi hiyo kuwachukia wageni.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernad Membe amesema watanzania waliofariki nchini Afrika Kusini hawatokani na vurugu za wenyeji kuwakataa wageni.
Membe amesema tatizo hilo lilianza 2008 na 2014 hiyo lilichangiwa na Mfalme wa nchini...
10 years ago
Habarileo02 Dec
Serikali yaonya siasa za kihuni, vurugu
VYAMA vya siasa nchini vimetakiwa kuendesha siasa za kistaarabu na kutokuwa vyanzo vya vurugu katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambapo kwenye baadhi ya maeneo nchini viongozi wameripotiwa kutekwa wakati wakirejesha fomu huku maeneo mengine watu wakitajwa kuzuia uandikishaji wa wapiga kura.
10 years ago
Mwananchi20 Apr
VURUGU AFRIKA KUSINI: Membe adai hakuna mtanzania aliyeuawa, 21 kurejea nchini
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Uf5Jdma8M3241BYZfcII5076gpdmu-9P2YI8q0O6YQJRLwIpCwxm5sNQdHu8w9ZEvgM43uoTjbiRq7ExyIWhwyxbTwTDwCPA/BACKUWAZI.jpg?width=650)
VURUGU KWENYE KAMPENI ZA UCHAGUZI HII SIYO SIASA
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/6HHnEDc9yys/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi12 Mar
Hakuna siasa kwenye mabadiliko ya nauli - Sumatra
9 years ago
Raia Mwema02 Sep
Hakuna rafiki na adui wa kudumu katika siasa
HADI sasa Edward Lowassa na Frederick Sumaye, wamejikuta pamoja katika umoja wa vyama vinne vya u
Privatus Karugendo
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-XS5ejkRNwZk/VbcQkCWiFTI/AAAAAAAACg0/DA0a_nVVwZA/s72-c/11391647_807377299360670_1378162237195954623_n.jpg)
"KATIKA SIASA HAKUNA MALAIKA WALA SHETANI"-Maria Sarungi
![](http://2.bp.blogspot.com/-XS5ejkRNwZk/VbcQkCWiFTI/AAAAAAAACg0/DA0a_nVVwZA/s200/11391647_807377299360670_1378162237195954623_n.jpg)
Hivi karibuni kumekuwa na matukio mbalimbali kwa upande wa chama kikuu cha upinzani CHADEMA kinachonisukuma kusema kuwa tunachoona...