Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ulinzi kuimarishwa Simba, Yanga

>Wakati homa ya mchezo wa kirafiki wa Nani Mtani Jembe utakao zikutanisha Simba na Yanga, Jumamosi hii ikizidi kupanda, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesema kuwa lipo katika maandalizi kabambe kwa ajili ya mechi hiyo  hata hivyo nguvu zaidi limezielekezwa  katika suala la usalama.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Ulinzi wa majini kuimarishwa -JK

Rais Jakaya Kikwete akikagua meli vita mbili mara baada ya kutoa kamisheni katika sherehe zilizofanyika makao makuu ya Kamandi ya Navy, Kigamboni Dar es Salaam jana. Kulia ni Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Dk Hussein Mwinyi huku Mbunge wa Afrika Mashariki, Makongoro Nyerere akisalimiana na Balozi wa China nchini, Dk Lu Youqing na kulia ni Mkuu wa Kamandi hiyo, Meja Jenerali Rogasian Laswai. (Na Mpigapicha Wetu).RAIS Jakaya Kikwete amesema serikali kupitia majeshi yake, itazidi kuimarisha ulinzi wa majini , ikiwa ni pamoja na kununua meli vita zitakazosaidia kulinda mipaka ya bahari na rasilimali zilizopo.

 

10 years ago

Mtanzania

Ulinzi wazidi kuimarishwa kesi za ugaidi

NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
JESHI la Magereza mkoani hapa limezidi kuimarisha ulinzi ndani na nje ya majengo ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, wakati wa kesi za watuhumiwa 60 wa matukio tofauti ya kigaidi.

Wakati ulinzi ukiimarishwa, mtuhumiwa mpya wa matukio ya kigaidi, Buchumi Hassan, amepandishwa kizimbani kusomewa mashtaka yake na kuunganishwa na watuhumiwa wenzake 60 na kufanya idadi yao kufikia 61.

Kwa wiki kadhaa sasa kulikuwa na ulinzi mkali wa askari magereza eneo hilo wakati wa...

 

9 years ago

StarTV

Ulinzi kuimarishwa maradufu Santiago Bernebeu Jumamosi  

 

Kufuatia tukio la kigaidi lililotokea  nchini Ufaransa Ijumaa iliyopita ulinzi mkali umeimarishwa mara dufu  kuelekea mechi ya kwanza ya El Clasico kati ya Real Madrid dhidi ya FC Barcelona kwenye uwanja wa Santiago Bernebeu.

             Duru za kiusalama zinasema kuwa  mkuu wa  Manispaa ya mji wa Madrid  Concespcion amesema kuwa  upekuzi utakuwa mkubwa zaidi nje na ndani ya uwanja  huo zikiwemo Cafeteria sambamba na bar ili kuepuka hatari yoyote.

Amebainisha kuwa kila sehemu itakaguliwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.

Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.

Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.

Unahisi nani ataibuka kidedea...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Mwananchi

Safu ya ulinzi ya Simba yapondwa

Kiungo wa zamani wa Mlandege na Yanga, Deo Lucas amesema bado anashangazwa na klabu ya Simba kuendelea kusajili washambuliaji wakati wanajua fika wana safu mbovu ya ulinzi msimu huu.

 

11 years ago

GPL

Tambwe chini ya ulinzi mkali Simba

Mshambuliaji wa Simba kinara wa mabao Ligi Kuu Bara, Amissi Tambwe(kushoto). Na Khadija Mngwai
UONGOZI wa Klabu ya Simba umetangaza kumwekea ulinzi mkali mshambuliaji wake, Amissi Tambwe, raia wa Burundi, ikiwa ni siku moja baada ya kuwepo kwa taarifa za mchezaji huyo kuwaniwa na timu nyingine, ikiwemo yeye mwenyewe kutoa kauli ya kuwakaribisha Yanga kwa mazungumzo ya usajili kama wanamhitaji. Tambwe ambaye anaongoza kwa mabao...

 

10 years ago

Vijimambo

AUNGURUMAPO SIMBA MCHEZA NANI DAKIKA 90 SIMBA 1 YANGA 0

 Timu ya Yanga imeendeleza uteja tena leo katika mchezo wa wahasimu hao uliochezwa uwanja wa taifa leo baada ya timu ya Simba kuibamiza Yanga goli 1 bila majibu goli lililofungwa na Emmanuel Okwi mchezaji aliyeikimbia timu hiyo yenye masikani yake Jangwani katika dakika ya 52. Wachezaji wa Simba na Yanga wakiwa katika mpambano.Mchezaji Simon Msuva akijaribu kufanya mashambulizi goli mwa Simba shuti lake halikuweza kuleta madhara yeyote mpaka dakika 90 Simba 1 na Yanga 0. Picha kwa hisani ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Ivo ajifua Sauzi, ulinzi wa Yanga usipime

Homa ya pambano la watani wa jadi imezidi kupanda, baada ya Simba kulazimika kumrudisha kundini kipa wake majeruhi, Ivo Mapunda na Yanga wakiweka ulinzi mkali katika mazoezi ya timu hiyo yanayofanyika kwenye Uwanja wa Boko Veteran, Bunju jijini Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani