Safu ya ulinzi ya Simba yapondwa
Kiungo wa zamani wa Mlandege na Yanga, Deo Lucas amesema bado anashangazwa na klabu ya Simba kuendelea kusajili washambuliaji wakati wanajua fika wana safu mbovu ya ulinzi msimu huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania01 Oct
Mourinho aitupia lawama safu ya ulinzi
LONDON, ENGLAND
KOCHA wa Chelsea, Jose Mourinho, ametupia lawama safu ya ulinzi ya klabu hiyo baada ya kupokea kichapo cha
mabao 2-1 dhidi ya Porto.
Kocha huyo amesema mpaka sasa hajui ubora wa kikosi chake kwa kuwa kimepoteza michezo mingi ya Ligi Kuu nchini England.
“Kuna tatizo kwa upande wa safu ya ulinzi na ndio maana tunapoteza baadhi ya michezo, hii inatokana na kukosa mawasiliano lakini ninaamini nina mabeki wazuri ambao wana uwezo mkubwa na wala sina wasi wasi.
“Matatizo yanakuja...
10 years ago
BBCSwahili07 Dec
Wenger:Safu ya ulinzi ilikuwa maji maji.
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Ulinzi kuimarishwa Simba, Yanga
9 years ago
Habarileo07 Sep
Sera ya majimbo yapondwa
KAIMU Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Shaka Hamdu Shaka, ameponda sera ya majimbo inayotangazwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) akisema inachochea ubaguzi na ukabila.
10 years ago
Tanzania Daima26 Sep
Rasimu ya Katiba yapondwa
SIKU moja baada ya Bunge Maalum, kuanika rasimu ya katiba inayopendekezwa, wadau mbalimbali wameiponda. Mhadhiri wa Sayansi ya Siasa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk. Bashiru Ally, amesema vikao...
11 years ago
GPLTambwe chini ya ulinzi mkali Simba
10 years ago
VijimamboNI MAFANIKIO KUWA NA ASKARI WANAWAKE KATIKA ULINZI WA AMANI UN-MHE SIMBA
10 years ago
MichuziNI MAFANIKIO KUWA NA ASKARI WANAWAKE KATIKA ULINZI WA AMANI UN - MHE SIMBA
10 years ago
Mwananchi15 Sep
Safu za uongozi zakamilika