Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sera ya majimbo yapondwa

KAIMU Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Shaka Hamdu Shaka, ameponda sera ya majimbo inayotangazwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) akisema inachochea ubaguzi na ukabila.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Rasimu ya Katiba yapondwa

SIKU moja baada ya Bunge Maalum, kuanika rasimu ya katiba inayopendekezwa, wadau mbalimbali wameiponda. Mhadhiri wa Sayansi ya Siasa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk. Bashiru Ally, amesema vikao...

 

10 years ago

Mwananchi

Safu ya ulinzi ya Simba yapondwa

Kiungo wa zamani wa Mlandege na Yanga, Deo Lucas amesema bado anashangazwa na klabu ya Simba kuendelea kusajili washambuliaji wakati wanajua fika wana safu mbovu ya ulinzi msimu huu.

 

9 years ago

Dewji Blog

Taarifa ya CCM kunyakua majimbo 176 kati ya majimbo 264 na mengineyo soma hapa

123

Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya CCM, January Makamba.

CCM inapenda kutoa taarifa ifuatayo kwa wanachama, wapenzi na washabiki wake na kwa umma Watanzania.

Tathmini ya Upigaji Kura

Kama tulivyoeleza jana, tumeridhishwa na amani na utulivu uliotawala katika sehemu kubwa ya nchi yetu wakati wa zoezi la upigaji kura. Licha ya changamoto zilizojitokeza, ambazo baadhi zimeshughulikiwa, kwa jinsi zoezi la kupiga na kuhesabu kura lilivyoendeshwa kwa uwazi, matokeo ya uchaguzi huu yatakuwa ni...

 

9 years ago

Habarileo

CCM yashinda majimbo 159, Chadema majimbo 35

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeongoza kwa kunyakua majimbo ya uchaguzi 159, ambayo hadi jana yamethibitishwa na wasimamizi waliopewa mamlaka ya kutangaza matokeo hayo na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), huku Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikifuatia kwa kupata majimbo 35.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani