Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mchezo wa Raga majini

Je ushawahi kusikia kuhusu mchezo wa Rugby unaochezewa majini?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Video:Je unafahamu mchezo wa raga

Huku kombe la dunia la mchezo wa raga ukiendelea,watu wengi hawafahamu sheria ya mchezo huu,tazama video hii

 

10 years ago

Habarileo

Ulinzi wa majini kuimarishwa -JK

Rais Jakaya Kikwete akikagua meli vita mbili mara baada ya kutoa kamisheni katika sherehe zilizofanyika makao makuu ya Kamandi ya Navy, Kigamboni Dar es Salaam jana. Kulia ni Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Dk Hussein Mwinyi huku Mbunge wa Afrika Mashariki, Makongoro Nyerere akisalimiana na Balozi wa China nchini, Dk Lu Youqing na kulia ni Mkuu wa Kamandi hiyo, Meja Jenerali Rogasian Laswai. (Na Mpigapicha Wetu).RAIS Jakaya Kikwete amesema serikali kupitia majeshi yake, itazidi kuimarisha ulinzi wa majini , ikiwa ni pamoja na kununua meli vita zitakazosaidia kulinda mipaka ya bahari na rasilimali zilizopo.

 

10 years ago

GPL

SANGOMA AZIMIA AKITOA MAJINI!

Stori: Denis Mtima
INASHANGAZA sana! Katika hali isiyokuwa ya kawaida mganga wa kienyeji ‘sangoma’ mmoja aliyefahamika kwa jina la Lambalamba amejikuta akiingia kwenye hatua ya nusu kifo kufuatia kupoteza fahamu baada ya kuelemewa na majini aliyokuwa akiyatoa shuleni. Sangoma mwenye usongo mwekundu akiingia kazini na timu yake kutuliza majini. Tukio hilo la aina yake lilijiri hivi karibuni maeneo ya Kiluvya -...

 

10 years ago

Habarileo

Wananchi wahadharishwa kuwa majini

Msemaji wa Polisi, Advera Bulimba JESHI la Polisi nchini, limetoa tahadhari kwa wananchi kuwa makini katika suala zima la ulinzi na usalama wa maisha na mali zao.

 

11 years ago

Mwananchi

Mabasi ya majini kumaliza msongamano wa magari?

>Serikali, mashirika binafsi na wadau wa usafiri ndani na nje ya nchi wamekuwa wakifanya jitihada mbalimbali kukabiliana na msongamano wa magari katika Jiji la Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Kenya yataka Stars icheze majini

Utata mkubwa ulitokea jana mchana mjini Machakos baada ya vigogo wa Shirikisho la Soka la Kenya (KFF) kutaka mechi dhidi ya Kilimanjaro Stars ichezwe kwenye uwanja huo uliojaa maji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mzee wa miaka 84 apotea majini Sydney

Maafisa nchini Australia wamesitisha zoezi la kumtafuta mzee mmoja aliyeanguka baharini mashariki mwa mji wa Sydney.

 

11 years ago

Mwananchi

Watu 10 wajitosa majini wakihofia kunaswa na polisi

Zaidi ya watu 10 wamenusurika kufa maji baada ya kujitosa ndani ya Mto Songwe, wakihofia kukamatwa wakati wakivusha sukari ya magendo kutoka nchi jirani ya Malawi.

 

10 years ago

Habarileo

Sumatra yazuia vyombo vya usafiri wa majini

MAMLAKA ya Usafirishaji wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imevizuia kutoa huduma kwa muda usiojulikana vyombo vyote vya usafirishaji wa majini vya mkoani hapa hadi hapo vitakapokaguliwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani