Kenya yataka Stars icheze majini
Utata mkubwa ulitokea jana mchana mjini Machakos baada ya vigogo wa Shirikisho la Soka la Kenya (KFF) kutaka mechi dhidi ya Kilimanjaro Stars ichezwe kwenye uwanja huo uliojaa maji.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziTASAC YATAKA VYOMBO AMBAVYO HAVIJAKAGULIWA KUTOKWENDA MAJINI KUFANYA KAZI
SHIRIKAla Uwakala wa Meli Tanzania Mkoani Tanga (TASAC) limetoa wito kwa vyombo vya usafiri vinavyofanya kazi zake majiniambayo havijakaguliwa na kupata cheti cha ubora kutokwenda majinikufanya shughuli zake.
Agizohilo lilitolewa leo na Afisa Mfawidhi wa Shirika hilo Mkoani
Tanga Captain Christopher Shalua wakati akizungumza na mwandishi wa habari ofisini kwake.
Alisemakwamba wao wanatoa wito kwa vyombo vya majini kwa kipindi hiki cha masika vyombo ambavyo havijakaguliwa na kupata cheti cha...
10 years ago
Mwananchi29 Aug
Kenya yataka EAC kuandaa Afcon
9 years ago
Bongo507 Jan
Mashabiki wa Alikiba shingoni mwa MTV Base, waanzisha kampeni ya kuitaka icheze video zake
![12362286_1753528134868355_448805419_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/12362286_1753528134868355_448805419_n-300x194.jpg)
MTV Base hawapumui sababu mashabiki wa Alikiba wapo shingoni mwao.
Hilo limekuja baada ya tawi lake la Afrika Mashariki, MTV Base East kuanzisha shindano dogo kwenye Twitter (Face Off Tanzania) wakiwataka mashabiki kumtaja msanii aliyefanya vizuri Tanzania mwaka 2015 na kuwaweka Alikiba, Diamond, Vanessa Mdee na Ommy Dimpoz.
Watu zaidi ya 1500 walipiga kura na Alikiba alishinda mtanange huo kama inavyoonekana hapo chini.
#FaceOff Tanzania Who ruled 2015?
— MTV Base East (@MTVBaseEast)...
9 years ago
Habarileo24 Aug
Twiga Stars, Kenya hakuna mbabe
TIMU ya taifa ya soka ya wanawake ya Tanzania Twiga Stars, jana ilitoka sare ya kufungana 1-1 na wenzao wa Kenya, Harambee Starlets, katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Amaan.
9 years ago
Habarileo18 Aug
Kenya kuwapa changamoto Twiga Stars
KOCHA wa timu ya Taifa ya wanawake, Twiga Stars Rogasian Kaijage amesema mchezo wao wa kirafiki dhidi ya Kenya utawapa changamoto ya kutambua nafasi yao kwenye mashindano ya All African Games yatakayofanyika mwezi ujao.
11 years ago
Mwananchi08 Dec
Stars kuivaa Kenya nusu fainali
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Kili Stars ‘full’ mzuka kwa Kenya
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mWq-Pv8RWzR*69Rg-H75gij4aD7GnIALcXOrjJRb7MtOKOaMByuT1XFIweAfLoJeg4KPH7WdpYRxsMMEvxOzwZjy0oRmhjms/1.jpg?width=650)
STARS WALIVYOTUA DAR KUTOKA CHALLENGE KENYA
11 years ago
Mwananchi09 Dec
Kenya yaanza njama kwa Kili Stars