Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kenya yataka Stars icheze majini

Utata mkubwa ulitokea jana mchana mjini Machakos baada ya vigogo wa Shirikisho la Soka la Kenya (KFF) kutaka mechi dhidi ya Kilimanjaro Stars ichezwe kwenye uwanja huo uliojaa maji.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

TASAC YATAKA VYOMBO AMBAVYO HAVIJAKAGULIWA KUTOKWENDA MAJINI KUFANYA KAZI


SHIRIKAla Uwakala wa Meli Tanzania Mkoani Tanga (TASAC) limetoa wito kwa vyombo vya usafiri vinavyofanya kazi zake majiniambayo havijakaguliwa na kupata cheti cha ubora kutokwenda majinikufanya shughuli zake.

Agizohilo lilitolewa leo na Afisa Mfawidhi wa Shirika hilo Mkoani
Tanga Captain Christopher Shalua wakati akizungumza na mwandishi wa habari ofisini kwake.

Alisemakwamba wao wanatoa wito kwa vyombo vya majini kwa kipindi hiki cha masika vyombo ambavyo havijakaguliwa na kupata cheti cha...

 

10 years ago

Mwananchi

Kenya yataka EAC kuandaa Afcon

Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika 2017 zinaweza kuandaliwa kwa pamoja na nchi za Afrika Mashariki kama ombi la Shirikisho la Soka la Kenya (FKF) likifanikiwa.

 

9 years ago

Bongo5

Mashabiki wa Alikiba shingoni mwa MTV Base, waanzisha kampeni ya kuitaka icheze video zake

12362286_1753528134868355_448805419_n

MTV Base hawapumui sababu mashabiki wa Alikiba wapo shingoni mwao.

12362286_1753528134868355_448805419_n

Hilo limekuja baada ya tawi lake la Afrika Mashariki, MTV Base East kuanzisha shindano dogo kwenye Twitter (Face Off Tanzania) wakiwataka mashabiki kumtaja msanii aliyefanya vizuri Tanzania mwaka 2015 na kuwaweka Alikiba, Diamond, Vanessa Mdee na Ommy Dimpoz.

Watu zaidi ya 1500 walipiga kura na Alikiba alishinda mtanange huo kama inavyoonekana hapo chini.

#FaceOff Tanzania Who ruled 2015?

— MTV Base East (@MTVBaseEast)...

 

9 years ago

Habarileo

Twiga Stars, Kenya hakuna mbabe

TIMU ya taifa ya soka ya wanawake ya Tanzania Twiga Stars, jana ilitoka sare ya kufungana 1-1 na wenzao wa Kenya, Harambee Starlets, katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Amaan.

 

9 years ago

Habarileo

Kenya kuwapa changamoto Twiga Stars

KOCHA wa timu ya Taifa ya wanawake, Twiga Stars Rogasian Kaijage amesema mchezo wao wa kirafiki dhidi ya Kenya utawapa changamoto ya kutambua nafasi yao kwenye mashindano ya All African Games yatakayofanyika mwezi ujao.

 

11 years ago

Mwananchi

Stars kuivaa Kenya nusu fainali

Ushujaa wa kipa namba moja wa Kilimanjaro Stars, Ivo Mapunda umeivua ubingwa Uganda na kuiingiza Stars nusu fainali ya Kombe la Chalenji

 

11 years ago

Mwananchi

Kili Stars ‘full’ mzuka kwa Kenya

Kikosi cha Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ kinashuka kwenye Uwanja wa Kenyatta mjini Machakos leo kwa lengo moja tu la kusaka ushindi dhidi ya wenyeji Kenya katika nusu fainali ya kwanza ya Kombe la Chalenji.

 

11 years ago

GPL

STARS WALIVYOTUA DAR KUTOKA CHALLENGE KENYA

Wachezaji wa timu ya soka ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars', Himid Mao mbele na Elias Maguri nyuma wakiteremka kwenye ndege ya RwandaAir baada ya kufika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam jioni ya jana wakitokea Nairobi, Kenya walikokuwa wakishiriki Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Challenge ambako walishika nafasi ya nne, huku wenyeji, Kenya 'Harambee Stars' wakitwaa...

 

11 years ago

Mwananchi

Kenya yaanza njama kwa Kili Stars

Wenyeji Kenya wameingia mchecheto na makali ya Kilimanjaro Stars baada ya kulazimisha mchezo wa nusu fainali ufanyike Machakos badala ya Mombasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani