Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


STARS WALIVYOTUA DAR KUTOKA CHALLENGE KENYA

Wachezaji wa timu ya soka ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars', Himid Mao mbele na Elias Maguri nyuma wakiteremka kwenye ndege ya RwandaAir baada ya kufika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam jioni ya jana wakitokea Nairobi, Kenya walikokuwa wakishiriki Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Challenge ambako walishika nafasi ya nne, huku wenyeji, Kenya 'Harambee Stars' wakitwaa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Kili Stars yaanza vizuri Cecafa Senior Challenge, yaikamua Somalia, bingwa mtetezi Kenya nae aipa kipigo Uganda!

kilistars

Kikosi cha Kilimanjaro Stars..

Na Rabi Hume, Modewji blog

Timu inayowakilisha Tanzania bara katika mashindano ya Cecafa Senior Challenge, Kilimanjaro Stars jana imeanza vyema mashindano hayo kwa kuifunga timu ya taifa ya Somalia kipigo cha goli 4 kwa bila.

Katika mchezo huo ambao Kili Stars ilionekana kutawala kwa kipindi kirefu ilifanikiwa kupata goli la kwanza dakika ya 11 kupitia kwa nahodha wa timu hiyo, John Bocco kwa njia ya mkwaju wa penati.

Goli la pili lilifungwa na Elias...

 

10 years ago

GPL

MASTAA WA REAL MADRID WALIVYOTUA JIJINI DAR

Baadhi ya mastaa wa zamani wa Real Madrid baada ya kutua nchini jana usiku. Mastaa hao wakiongozwa na wenyeji wao baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini…

 

10 years ago

CloudsFM

SIMBA SC WALIVYOTUA JIJINI DAR NA KOMBE LA MAPINDUZI

KIKOSI cha Wekundu wa Msimbazi, Simba SC kilichotwaa Kombe la Mapinduzi Mtibwa Sugar kwa penalti 4-3 kiliwasili jijini Dar jana kikitokea Mjini Zanzibar.

 

9 years ago

TheCitizen

Kili Stars off to a winning start in Challenge Cup

Kilimanjaro Stars started well their campaign for the Cecafa Senior Challenge Cup after thumping minnows Somalia 4-0 in a Group A match played here yesterday.

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Vanessa Mdee atumbuiza live kupitia Citizen TV ya Kenya kutoka Dar

Kituo cha runinga cha Citizen cha nchini Kenya kimefanya mahojiano ya moja kwa moja na Vanessa Mdee kutoka Dar es Salaam. We’re live from Dar Es Salam! Today we’ve got the gorgeous Venessa Mdee on the show #PowerBreakfast pic.twitter.com/6O7HN9mKPn — Citizen TV Kenya (@citizentvkenya) October 23, 2015 Kwenye kipindi hicho cha asubuhi cha Power Breakfast, […]

 

10 years ago

BBC

AUDIO: Sauti Sol on Kenya's musical challenge

DJ Edu is on a journey to find the best nightclub in Africa and met Kenya's biggest band at the moment, Sauti Sol, who want to reclaim the identity of East African music.

 

10 years ago

Bongo5

Ice Bucket Challenge: Huyu ni msanii wa Kenya aliyetupa karata yake (Video)

Kampeni ya Ice Bucket Challenge, ambayo wakati mwingine huitwa ALS Ice Bucket Challenge, huhusisha kujimwagia maji yenye barafu ili kukuza uelewa kuhusiana na ugonjwa uitwao ‘amyotrophic lateral sclerosis’ (ALS) na kusisitiza umuhimu wa kuchangia fedha kwaajili ya utafiti. Sheikha Matukio hayo yamekuwa maarufu sana kwenye mitandao ya kijamii siku za hivi karibuni ambapo mastaa kibao […]

 

10 years ago

GPL

DIAMOND NA ZARI WALIVYOTUA NCHINI BURUNDI

Diamond na Zari wakiwa 'close' wakati wa safari yao ya kuelekea Bujumbura. Diamond, Zari na baunsa wa Diamond maarufu kwa jina la Mwarabu baada ya kutua Uwanja wa Ndege wa Bujumbura, Burundi jana.…

 

10 years ago

TheCitizen

Dar golfers take aim at EA Challenge

Dar es Salaam. The 16th edition of the East Africa Golf Challenge gets underway in Entebbe, Uganda tomorrow with six teams poised to slug it out for the title.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani