MASTAA WA REAL MADRID WALIVYOTUA JIJINI DAR
![](http://api.ning.com:80/files/t8oueEU5ZFKOi6R2zrvq7E89SS6kUgSdyf-fyVTJjgwUqPMNprSrBnBalOQaslTrlzGlN3clNpeQ3oxY*07zewMsLYC*tsyl/1REALMADRID2.jpg?width=650)
Baadhi ya mastaa wa zamani wa Real Madrid baada ya kutua nchini jana usiku. Mastaa hao wakiongozwa na wenyeji wao baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM15 Jan
SIMBA SC WALIVYOTUA JIJINI DAR NA KOMBE LA MAPINDUZI
KIKOSI cha Wekundu wa Msimbazi, Simba SC kilichotwaa Kombe la Mapinduzi Mtibwa Sugar kwa penalti 4-3 kiliwasili jijini Dar jana kikitokea Mjini Zanzibar.
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Real Madrid kutua Dar Agosti 22
WARATIBU wa ziara ya mabingwa wa kihistoria wa michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, Real Madrid ya Hispania, wametangaza rasmi siku ya ujio wa msafara wa nyota 25 na mashabiki...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcI0fhUjFsTT29gEwCPc0M*xX0XYdbbrXpQYoN9PcejEn9QQd5xdTlw64IIQuLEq6ZLNw64HBhvGHk*P7xuv4u85/real.jpg?width=650)
Real Madrid yawaleta Dar Figo, Salgado
10 years ago
GPLREAL MADRID WATINGA TSN BAMAGA, MWENGE DAR
5 years ago
Bongo514 Feb
Real Madrid na Atletico Madrid zimefuzu hatua ya nusu fainali Champions League
Ligi ya klabu bingwa Ulaya msimu huu imefikia kikomo baada ya klabu ya Leicester City ya Uingereza kutoka sare na Atletico Madrid uwanjani King Power.
Leicester wameondolewa katika hatua ya robo fainali baada ya sare hiyo ya 1-1 huku wakiwa wamefungwa 1-0 kwenye mechi ya mkondo wa kwanza.
Mchezaji wa Atletico Madrid, Saul Niguez alifunga bao kwa kichwa dakika ya 26.
Hii lilikuwa na maana kwamba walihitaji mabao matatu kipindi cha pili ili kufanikiwa kusonga.
Jamie Vardy alikomboa bao moja...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-rwve4Xr1iJs/VZd3wxDtutI/AAAAAAAACbQ/rgN2kj6Joc8/s72-c/degea-1431735082.jpg)
THIS IS WHAT ATLETICO MADRID SAYS ABOUT DAVID DE GEA JOINING REAL MADRID
![](http://1.bp.blogspot.com/-rwve4Xr1iJs/VZd3wxDtutI/AAAAAAAACbQ/rgN2kj6Joc8/s400/degea-1431735082.jpg)
De Gea joined United from Atletico, where he started his career, for £18.9million in 2011. A year earlier he was a crucial figure as Atleti won the Europa League.Tomas Ujfalusi was part of De Gea's defence that season and popular with the club's fans after spending three years in the Spanish capital; De Gea was equally liked, but Ujfalusi believes he will throw that away if he signs for Real because Atletico's fans would feel betrayed.
![](http://1.bp.blogspot.com/-M7IhNpLMfA0/VZd270Y6xRI/AAAAAAAACbA/Z8T9ox6NVkA/s400/22B224DE00000578-0-image-a-47_1435960515677.jpg)
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Headlines za Jose Mourinho kurudi Real Madrid zilipomfikia Rais wa Madrid Fiorentino Perez alijibu hivi ….
Najua bado headlines za Jose Mourinho kuwa ataenda wapi au kuifundisha klabu gani bado zinazidi kushika kasi, je ataenda kuifundisha klabu ya Manchester United au Real Madrid kama inavyoripotiwa au klabu gani. Ukiachana na stori za kujiunga na Man United, mwezi October Rais wa zamani wa Real Madrid Ramon Calderon alimkaribisha kwa mara ya pili Mourinho kujiunga […]
The post Headlines za Jose Mourinho kurudi Real Madrid zilipomfikia Rais wa Madrid Fiorentino Perez alijibu hivi …. appeared...