Kili Stars off to a winning start in Challenge Cup
Kilimanjaro Stars started well their campaign for the Cecafa Senior Challenge Cup after thumping minnows Somalia 4-0 in a Group A match played here yesterday.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania01 Dec
Penalti zaing’oa Kili Stars Chalenji Cup
NA MWANDISHI WETU
PENALTI mbili za timu ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’, zilizopigwa na kiungo Jonas Mkude na beki Shomari Kapombe, zimeing’oa timu hiyo kwenye michuano ya Kombe la Chalenji baada ya kuchezwa na kipa Abel Mamo wa Ethiopia na kuwavusha wenyeji hao katika hatua ya nusu fainali.
Mamo alizicheza vema penalti hizo na kuiongoza Ethiopia kutinga hatua hiyo kwa ushindi wa mikwaju ya penalti 4-3, kufuatia dakika 90 matokeo kwisha kwa sare ya bao 1-1 na sasa Ethiopia...
9 years ago
Dewji Blog23 Nov
Kili Stars yaanza vizuri Cecafa Senior Challenge, yaikamua Somalia, bingwa mtetezi Kenya nae aipa kipigo Uganda!
Kikosi cha Kilimanjaro Stars..
Na Rabi Hume, Modewji blog
Timu inayowakilisha Tanzania bara katika mashindano ya Cecafa Senior Challenge, Kilimanjaro Stars jana imeanza vyema mashindano hayo kwa kuifunga timu ya taifa ya Somalia kipigo cha goli 4 kwa bila.
Katika mchezo huo ambao Kili Stars ilionekana kutawala kwa kipindi kirefu ilifanikiwa kupata goli la kwanza dakika ya 11 kupitia kwa nahodha wa timu hiyo, John Bocco kwa njia ya mkwaju wa penati.
Goli la pili lilifungwa na Elias...
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/72246000/jpg/_72246437_85299729.jpg)
Ghana make winning start at CHAN
10 years ago
Daily News30 Sep
SHIMIWI: HUM ladies enjoy winning start
Daily News
THE Ministry of Information, Youth, Culture and Sports (HUM) netball team commenced their Inter- Ministries games campaign on a strong note after thrashing Police- Dar es Salaam 45-1 goals here. In the game held at the Jamhuri Stadium over the weekend, ...
5 years ago
Upstream Online02 Mar
Winning stakeholders' trust a key challenge for oil and gas players
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BpcxhYIbWSbLLGO3dMemxhzCxjZITc88re1H1*3Zi1tqEKgZAICAsKI6OaSRZtLhUbz18rENtlbkeDZgTF6EcOl5iBAFelJ4/kilistars.jpg)
KILI STARS YAONDOLEWA CHALENJI, YAPIGWA NA HARAMBEE STARS 1-0
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BKaRC7DsTeA/VYjjmwG04jI/AAAAAAAHink/tvD_Z76onzs/s72-c/unnamed%2B%252860%2529.jpg)
Kili Challenge: Fighting HIV and AIDS in Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-BKaRC7DsTeA/VYjjmwG04jI/AAAAAAAHink/tvD_Z76onzs/s640/unnamed%2B%252860%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-n6KROYNIg7U/VYjjmxy5UdI/AAAAAAAHino/0hSOQpAmSVU/s640/unnamed%2B%252861%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-r8k9jua4Ub4/VYjjm9NVaaI/AAAAAAAHing/7lWy4Q9YSrc/s640/unnamed%2B%252863%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog06 Aug
GGM wamteua Lady Jaydee kuwa balozi wa Kili Challenge
Makamu wa Rais wa Kampuni ya Geita Gold Mine (GGM), Simon Shayo, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu uteuzi wa balozi wa kampeni ya Kili Challenge, kulia kwake ni Afisa mawasiliano wa kampuni hiyo, Tenga Tenga na kushoto kwake ni Balozi mpya wa kampeni hiyo, Judith Wambura – Lady Jaydee na Mwenyekiti wa TACAIDS, Dk. Fatma Mrisho.
Balozi wa kampeni ya Kili Challenge, Judith Wambura – Lady Jaydee akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kampeni hiyo inayolenga...
10 years ago
TheCitizen06 Jul
GGM promised Sh1.2bn for Kili HIV/Aids challenge