BOSI AMJERUHI MFANYAKAZI WAKE, AZIMIA
![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2N78fiwwCqUFQaV7nOEt5FuR9o6lLg19-3cUg8K2YLCE6v-*RJjLnSKBrmU1Zciy16xd8mJM0WKtUwGWczIazNB/kijamii.jpg?width=650)
Stori: Makongoro Oging’ Mfanyakazi wa kike Eugenia John, anayefanya kazi katika duka linalouza vifaa vya simu Mtaa wa Aggrey, Kariakoo jijini Dar es Salaam anadaiwa kupigwa na kujeruhiwa hadi kuzimia na bosi wake aliyejulikana kwa jina moja la Chuwa. Chanzo chetu cha habari kinadai kwamba tukio hilo lilitokea hivi karibuni na wakati mfanyakazi huyo anapigwa imedaiwa alikuwa akilia kwa uchungu kitendo kilichowafanya...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hXj4gw9-MpNRFDI46MPwRW9lsetooNW0bjk2BCNei7g4krMIhlHa5zq60zKXw8IXQrumr-yKtcZNwkhPikh3GyN7whQ5-J0S/BOS.jpg?width=650)
BOSI ADAIWA KUMKATA MAPANGA MFANYAKAZI WA NDANI
10 years ago
Habarileo28 Dec
Mgombea uenyekiti, mfanyakazi wake wauawa
ALIYEKUWA mgombea nafasi ya Uenyekiti wa Serikali ya kitongoji cha Idodomiya kijiji cha Kanoga na mfanyakazi wake kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wilaya ya Kaliua mkoani Tabora, wameuawa kwa kupigwa kwa mapanga.
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Nyambui amsimamisha kazi mfanyakazi wake
KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Suleiman Nyambui, amesema kukosekana kwa katiba katika Shirikisho hilo sio sababu ya wanamichezo kufanya vibaya katika mashindano ya Kitaifa na Kimataifa. Akizungumza...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U-QNuL7WAxn6RKnDZAq2CnYCTnqMbawRRwr34mjEysLUBDp1AQNgi5wzW9hCwFOjr7BUNY*TOSjRpJD0w7qIVpLMWxW970jZ/Bosi.jpg?width=650)
BOSI AMFANYIA UMAFIA HAUSIGELI WAKE!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOGlnOwPxeokx19hrE6nY92M*Spc8-zXJcjdCaE7NpbQuWyiF9dzG3kJqB4cdSvEu829t5CbLKZHNbrWe3pMt7kiIfoelRC6/hausgeli.jpg)
HAUSIGELI MIAKA 8 AJERUHIWA NA BOSI WAKE
11 years ago
Mwananchi01 Jul
Mfanyakazi wa ndani adaiwa kuua mwajiri wake
11 years ago
Habarileo03 Jul
Mfaransa atuhumiwa kumdhuru mfanyakazi wake wa ndani
RAIA wa Ufaransa , Folkertsma Laurent (41), amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Ilala, jijini Dar es Salaam, kujibu mashitaka ya kumdhuru mfanyakazi wake wa ndani.
9 years ago
Global Publishers25 Dec
Afisa wa Intelijensia wa TANAPA Aliuawa na Mfanyakazi Wake wa Ndani
![liberatusi-sa](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/12/liberatusi-sa.jpg)
11 years ago
Uhuru Newspaper07 Aug
Ofisa Usalama kizimbani kwa mauaji ya bosi wake
NA FURAHA OMARY
OFISA Usalama wa Taifa, Mohammed Kazembe, anayetuhumiwa kumuua bosi wake, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kwa shitaka la mauaji, akiwa hoi hajiwezi.
Kazembe (33), alifikishwa mahakamani hapo jana asubuhi, akiwa amebebwa na watu wawili huku mguu wake wa kushoto ukiwa umefungwa bandeji kutoka kwenye kisigino hadi ugokoni na mkononi alikuwa na njia ya kuwekea dripu ya maji.
Mshitakiwa huyo, mkazi wa Mwananyamala, ambaye hakuwa na uwezo wowote wa...