Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HAUSIGELI MIAKA 8 AJERUHIWA NA BOSI WAKE

Stori: Makongoro Oging’ Mtoto Miseto (8), anayedaiwa alikuwa akifanya kazi za ndani kwa mama mmoja aliyejulikana kwa jina la  Mary Jerald mkazi wa Kijiji cha Busurwa, Wilaya ya Rorya, mkoani Mara ameokotwa ufukweni mwa Ziwa Victoria Juni 28, mwaka huu akiwa amejeruhiwa na anayedaiwa ni bosi wake. Mtoto Miseto (8) aliyejeruhiwa na anayedaiwa kuwa bosi wake. Taarifa kutoka kwa shuhuda wa tukio hilo, Akeyo Thomas...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

UKATILI TENA: HAUSIGELI MWINGINE AJERUHIWA VIBAYA NA BOSI WAKE

Majeraha aliyonayo kichwani Melina Mathayo baada ya kupigwa na bosi wake. HAUSIGELI aitwaye Melina Mathayo mwenye umri kati ya miaka 15, ameumizwa vibaya sehemu za kichwani na kulazwa katika Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam baada ya kupigwa na bosi wake aitwaye Yasintha Rwechungura mkazi wa Boko. Akiongea na mwanahabari wetu akiwa katika hospitali hiyo, Melina amesema amekuwa akipigwa na bosi wake huyo mara kwa...

 

10 years ago

GPL

BOSI AMFANYIA UMAFIA HAUSIGELI WAKE!

UMAFIA wa kutisha! Dada mmoja aliyefahamika kwa jina la Mariamu mkazi wa Mwananyamala jijini Dar, amefanyiwa umafia kama siyo unyama wa kutisha na bosi wake aliyekuwa akimfanyia kazi za ndani.  Mariamu akiwa na majeraha mwilini baada ya kujeruhiwa na bosi wake. Mariam aliliambia gazeti hili juzi kuwa, tukio hilo lilitokea usiku wa Jumapili ya Septemba 13, mwaka huu nyumbani kwa bosi wake huyo aitwaye David maeneo ya Kinondoni...

 

11 years ago

GPL

BOSI ALIYEMNG’ATA HAUSIGELI WAKE KUTINGA KORTINI

Yusta  akiwa hospitalini Mwananyamala alipotembelewa na mtandao huu. …Akipata huduma kutoka kwa muuguzi.  AMINA MAIGE ambaye alikuwa bosi wa hausigeli Yusta Lucas (20) wa jijini Dar es Salaam, atafikishwa mahakamani wakati wowote kwa tuhuma za  kumng’ata sehemu mbalimbali za mwili kwa…

 

10 years ago

GPL

VIDEO: HAUSIGELI ANASWA AKIMNYONYESHA MTOTO WA BOSI WAKE KENYA

HAUSIGELI mmoja nchini Kenya amenaswa akimnyonyesha mtoto wa bosi wake. Hausigeli huyo aitwaye Grace Mwikali Mwema amekutwa akifanya kitendo hicho siku mbili tangu aanze kazi japo jaribio lake halikufanikiwa kwa kuwa mtoto alikataa kunyonya. Mama wa mtoto aligundua tukio hilo kutokana na kamera aliyoitega nyumbani kwake na akuunganisha na simu yake ya mkononi. Msichana huyo anashikiliwa na Jeshi la Polisi akisubiri kupandishwa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Binti wa kazi ajeruhiwa vibaya kwa kumwagiwa uji wa moto na mke wa bosi wake, kisa wivu wa kimapenzi

jeraha

Msichana Jackline Lasway akiwa amelazwa katika wodi ya kina mama namba mbili katika hospitali ya Mkoa wa Singida baada ya kujeruhiwa kwa kumwagiwa uji wa moto wakati akiwa dukani kwa bosi wake eneo la soko kuu Manispaa ya Singida.

Na Mwandishi Wetu , Singida.

Msichana mmoja mkazi wa eneo la Minga Manispaa ya Singida amenusurika kifo baada ya kumwagiwa uji wa moto na mke wa tajiri wake wa dukani  kutokana na kile kinachosadikiwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.

Msichana huyo Jackline Lasway...

 

11 years ago

Habarileo

'Hausigeli' asimulia bosi alivyomng'ata

MSICHANA Yusta Kashinde (20) aliyejeruhiwa kwa kuchomwa na pasi na kung’atwa sehemu za mwili na mwajiri wake Amina Maige (42), ametoa ushahidi wake mahakamani na kueleza kuwa mshitakiwa alimpiga na alipochoka, alimng’ata.

 

10 years ago

GPL

HAUSIGELI ALIYEMTESA MTOTO UGANDA AHUKUMIWA MIAKA 4 JELA

 Jolly Tumuhirwe (22). HAUSIGELI aliyenaswa kwenye video akimtesa mtoto nchini Uganda, amehukumiwa kwenda jela miaka minne katika mahakama moja nchini humo. Jolly Tumuhirwe wakati akimtesa mtoto Arnella mwenye miezi 18. Mfanyakazi huyo Jolly Tumuhirwe (22) aliiambia mahakama kuwa anajutia kile alichokifanya na anaomba msamaha kwa familia na jamii nzima. Amehukumiwa kwa kosa la kumtesa mtoto Arnella… ...

 

11 years ago

GPL

MZUNGU ALINILAZIMISHA NIFANYE MAPENZI NA MBWA WAKE - HAUSIGELI

Mzungu amlazimisha Hausigeli kufanya mapenzi na mbwa wake, hausigeli akataa, apewa kichapo na kutupiwa mizigo yake nje ya nyumba!

 

11 years ago

GPL

BOSI AMJERUHI MFANYAKAZI WAKE, AZIMIA

Stori: Makongoro Oging’
Mfanyakazi wa kike Eugenia John, anayefanya kazi katika duka linalouza vifaa vya simu Mtaa wa Aggrey, Kariakoo jijini Dar es Salaam anadaiwa kupigwa na kujeruhiwa hadi kuzimia na bosi wake aliyejulikana kwa jina moja la Chuwa. Chanzo chetu cha habari kinadai kwamba tukio hilo lilitokea hivi karibuni na wakati mfanyakazi huyo anapigwa imedaiwa alikuwa akilia kwa uchungu kitendo kilichowafanya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani