'Hausigeli' asimulia bosi alivyomng'ata
MSICHANA Yusta Kashinde (20) aliyejeruhiwa kwa kuchomwa na pasi na kung’atwa sehemu za mwili na mwajiri wake Amina Maige (42), ametoa ushahidi wake mahakamani na kueleza kuwa mshitakiwa alimpiga na alipochoka, alimng’ata.
habarileo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania