BOSI ALIYEMNG’ATA HAUSIGELI WAKE KUTINGA KORTINI
Yusta  akiwa hospitalini Mwananyamala alipotembelewa na mtandao huu. …Akipata huduma kutoka kwa muuguzi. AMINA MAIGE ambaye alikuwa bosi wa hausigeli Yusta Lucas (20) wa jijini Dar es Salaam, atafikishwa mahakamani wakati wowote kwa tuhuma za kumng’ata sehemu mbalimbali za mwili kwa…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLALIYEMNG’ATA HAUSIGELI NA KUMCHOMA PASI AACHIWA KWA DHAMANA
10 years ago
Habarileo21 Aug
'Hausigeli' asimulia bosi alivyomng'ata
MSICHANA Yusta Kashinde (20) aliyejeruhiwa kwa kuchomwa na pasi na kung’atwa sehemu za mwili na mwajiri wake Amina Maige (42), ametoa ushahidi wake mahakamani na kueleza kuwa mshitakiwa alimpiga na alipochoka, alimng’ata.
9 years ago
GPLBOSI AMFANYIA UMAFIA HAUSIGELI WAKE!
11 years ago
GPLHAUSIGELI MIAKA 8 AJERUHIWA NA BOSI WAKE
10 years ago
GPL19 Apr
VIDEO: HAUSIGELI ANASWA AKIMNYONYESHA MTOTO WA BOSI WAKE KENYA
11 years ago
GPLUKATILI TENA: HAUSIGELI MWINGINE AJERUHIWA VIBAYA NA BOSI WAKE
10 years ago
Vijimambo28 Feb
DC Makonda kutinga kortini kwa udhalilishaji.
Viongozi wawili wa Chama cha Mapinduzi (CCM), wanakusudia kumfikisha mahakamani Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda, Jumatatu ijayo kwa madai ya kuwakashifu, kuwadhalilisha na kuwatukana.
Viongozi hao ni aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, John Guninita na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida Mgana Msindai.
Akisoma kusudio hilo jana mbele ya waandishi wa habari kwa niaba ya mwenzake, Guninita alisema.
Makonda hakustahili kuteuliwa...
11 years ago
Mwananchi13 Jun
Mtuhumiwa kesi kumng’ata yaya atinga kortini
11 years ago
Uhuru NewspaperBosi Bandari kortini
Adaiwa kutoa zabuni kinyume cha sheria Ni ya upanuzi wa gati namba 13 na 14 Dar
NA FURAHA OMARY
ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Ephraim Mgawe na Naibu wake, Hamad Koshuma, wamefikishwa mahakamani kwa tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka.
Vigogo hao wanadaiwa kutoa zabuni ya upanuzi wa gati namba 13 na 14 katika Bandari ya Dar es Salaam kwa China Communications Construction Company (CCCC), bila ya kutangaza zabuni.
Mgawe na mwenzake walifikishwa...