DC Makonda kutinga kortini kwa udhalilishaji.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda.
Viongozi wawili wa Chama cha Mapinduzi (CCM), wanakusudia kumfikisha mahakamani Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda, Jumatatu ijayo kwa madai ya kuwakashifu, kuwadhalilisha na kuwatukana.
Viongozi hao ni aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, John Guninita na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida Mgana Msindai.
Akisoma kusudio hilo jana mbele ya waandishi wa habari kwa niaba ya mwenzake, Guninita alisema.
Makonda hakustahili kuteuliwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Tucta yamshukia Makonda kwa udhalilishaji
11 years ago
GPLBOSI ALIYEMNG’ATA HAUSIGELI WAKE KUTINGA KORTINI
10 years ago
Mwananchi17 Apr
wakina Guninita ‘wamtia’ DC Makonda kortini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JQCJar-9Q-Y/Xl-VysRd-lI/AAAAAAALg7M/RR2ILAmxsP4d1u4NBU6VL6Li4hn4R5IlgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B2.04.17%2BPM.jpeg)
RC MAKONDA ATANGAZA DAWA KWA WAKANDARASI WANAOKIUKA TARATIBU ZA MIKATABA * RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo Na Leandra Gabriel, Michuzi TV MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya w
![](https://1.bp.blogspot.com/-JQCJar-9Q-Y/Xl-VysRd-lI/AAAAAAALg7M/RR2ILAmxsP4d1u4NBU6VL6Li4hn4R5IlgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B2.04.17%2BPM.jpeg)
* RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo
Na Leandra Gabriel, Michuzi TVMKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya watu 13 kutoka Serikali na sekta binafsi ambao...
10 years ago
BBCSwahili28 Nov
Wanaume 13 washtakiwa kwa udhalilishaji
10 years ago
MichuziSAKATA LA ASKOFU GWAJIMA, MAASKOFU KUTINGA KWA IGP LEO KUMUOMBEA MSAMAHA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XshsKBdSAsI/U02X3FqJzKI/AAAAAAAFbFA/BDRAt0ZI-oQ/s72-c/unnamed+(53).jpg)
Mhe. Asha Bakari Makame kwa umahiri wake wa kupinga udhalilishaji wa kijinsia katika bunge la katiba
![](http://4.bp.blogspot.com/-XshsKBdSAsI/U02X3FqJzKI/AAAAAAAFbFA/BDRAt0ZI-oQ/s1600/unnamed+(53).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-vnZxgsdM21c/U02X0k69SfI/AAAAAAAFbEo/h0txXsCDi-U/s1600/unnamed+(54).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eTPVF6IA3I0/U02X0rlcSCI/AAAAAAAFbEs/FAEXrb7SWd4/s1600/unnamed+(55).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_1w42-eHWSs/XnoZhj3B2VI/AAAAAAAC8xQ/bp1H7bJrkvEIOEBK9Phe0hDk2UvpFAKtACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_5342.jpg)
RC Makonda apongeza TAA kwa kujidhatiti kwa Corona
Ataka wananchi kufuata masharti yaliyotolewaAsema kuanzia kesho mitaa kupuliziwa dawa
![](https://1.bp.blogspot.com/-_1w42-eHWSs/XnoZhj3B2VI/AAAAAAAC8xQ/bp1H7bJrkvEIOEBK9Phe0hDk2UvpFAKtACLcBGAsYHQ/s640/DSC_5342.jpg)
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameipongeza Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), kwa kujipanga vyema kwa kushirikiana na wahudumu wa afya kwa kuweka maji yenye dawa maalum ya kunawa mikono na kupima joto la mwili kwa watu wote wanaoingia na kutoka maeneo ya viwanja vya ndege, ili kuzuia kuingia zaidi kwa watu walioambukizwa ugonjwa wa homa kali ya Mapafu...
9 years ago
Mtanzania15 Dec
Kortini kwa kuingia nyumbani kwa Mzee Mwinyi
NA MANENO SELANYIKA, DAR ES SALAAM
MKAZI wa Ilala Mtaa wa Lindi, Hafidhi Ally (23), amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Kinondoni akikabiliwa na tuhuma za kuvamia kisha kuingia nyumbani kwa Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi.
Mbele ya Hakimu Ester Kihiyo, karani wa mahakama hiyo, Mosses Mchome, alidai kwamba mtuhumiwa alifanya kosa hilo Desemba 10, mwaka huu saa 7:30 usiku nyumbani kwa Mzee Mwinyi, Mikocheni B, Dar es Salaam.
Karani Mchome aliiambia mahakama hiyo kwamba, Hafidhi...