Kortini kwa kuingia nyumbani kwa Mzee Mwinyi
NA MANENO SELANYIKA, DAR ES SALAAM
MKAZI wa Ilala Mtaa wa Lindi, Hafidhi Ally (23), amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Kinondoni akikabiliwa na tuhuma za kuvamia kisha kuingia nyumbani kwa Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi.
Mbele ya Hakimu Ester Kihiyo, karani wa mahakama hiyo, Mosses Mchome, alidai kwamba mtuhumiwa alifanya kosa hilo Desemba 10, mwaka huu saa 7:30 usiku nyumbani kwa Mzee Mwinyi, Mikocheni B, Dar es Salaam.
Karani Mchome aliiambia mahakama hiyo kwamba, Hafidhi...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog15 Dec
Balozi wa Iran amtembelea Mzee Mwinyi nyumbani kwake
Rais Mstaafu wa awamu ya pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Alhaj Ali Hassan Mwinyi (kulia) akikabidhi Picha kwa Balozi wa Iran nchini Tanzania, Mh. Mehdi Aghajafari, inayoonyesha sehemu ya Utamaduni wa Tanzania, wakati alipomtembelea Nyumbani kwake, Mikocheni, Jijini Dar es salaam Disemba 14, 2015.
Rais Mstaafu wa awamu ya pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Alhaj Ali Hassan Mwinyi (kulia) akikabidhi Picha yake rasmi kwa Balozi wa Iran nchini Tanzania, Mh. Mehdi Aghajafari,...
10 years ago
Habarileo21 Sep
52 kortini kwa kuwazuia watoto kuingia sekondari
WAZAZI 52 katika Wilaya ya Kisarawe wamefikishwa katika Mahakama ya Mwanzo kutokana na kuwazuia watoto wao kuendelea na elimu ya kidato cha kwanza mwaka huu.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hNwNu3YGW84/Vm7WwoO8orI/AAAAAAAIMVM/nXKVnxGAdMQ/s72-c/OTH_4912.jpg)
BALOZI WA IRAN NCHINI AMTEMBELEA MZEE MWINYI NYUMBANI KWAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-hNwNu3YGW84/Vm7WwoO8orI/AAAAAAAIMVM/nXKVnxGAdMQ/s640/OTH_4912.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-M-TLNZu5HjU/Vm7WyP3YAjI/AAAAAAAIMVU/lal5bs7Mmsc/s640/OTH_4897.jpg)
10 years ago
VijimamboFUTARI NYUMBANI KWA BALOZI MWINYI NEW YORK
Naibu mwakilishi wa kudumu wa Tanzania Umoja wa Matifa Mhe. Balozi Ramadhan Muombwa Mwinyi akimkaribisha nyumbani kwake mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania New York Bwn. Hajji Kassim siku ya Jumapili June 21, 2015 siku Balozi Mwnyi alipofutarisha baadhi ya Watanzania waliopata mwaliko toka kwake na baadae Mhe. Mwinyi kuelezea futari ile itaendelea kufanyika nyumbani kwake kwa mwezi huu wa mfungo wa Ramadhan na atazidi kutoa mwaliko kwa Watanzania wa jimboni mwake kujumuika nae kwenye futari...
11 years ago
MichuziMZEE MWINYI AZINDUA MPANGO ENDELEVU KWA WAKULIMA
10 years ago
VijimamboFUTARI NYUMBANI KWA MHE, BALOZI RAMADHANI MUOMBWA MWINYI NEW ROCHELLE. NY
Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa New York, Mhe.Balozi Ramadhani Mwinyi pamoja na mama mwenye nyumba wake wakiwa na tabasamu la bashasha baada ya Iftar nyumbani kwao New Rochelle. NY. Mama mwenye nyumba wa balozi pamoja na mume wake waliwakaribisha Watanzania wa jumuiya ya New York nyumbani kwao na kufuturu nao pamoja.
Akina mama wa jumuiya ya Watanzania wa New York wakijiandalia chakula.
Akina mama walikuja na familia zao kama unavyoona kwenye ukodak huu wa...
10 years ago
VijimamboRais Kikwete ampongeza Mzee Mwinyi kwa kutimiza miaka 90
Rais Mstaafu awamu ya Pili Alhaji Hassan Mwinyi akitoa salamu zake kwa wageni waalikwa wakati wa sherehe yake ya kuzaliwa ambapo jana alitimiza umri wa miaka 90.Sherehe hiyo ilifanyika katika hoteli ya Sea Cliff na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali.
11 years ago
GPLMZEE MWINYI AZINDUA MPANGO ENDELEVU KWA WAKULIMA
10 years ago
Bongo Movies03 Apr
Picha: JB Akiwa Nyumbani Kwao kwa Mzee Wake
Leo ikiwa ni siku ya Ijumaa kuu, Staa mkubwa kabisa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ ame-share nasi picha hizi akiwa nyumbani kabisa kwa mzee wake.
Katika maelezo yake JB amesema kuwa siku kama ya leo huwa wanautaratibu kama familia kwenda kanisani pamoja.
“Leo niko nyumbani kwa mzee, Ijumaa ya pasaka tuna utaratibu wa kwenda kanisani wote” JB aliandika mara baada ya kubandika picha huyo hap juu akiwa na mzee wake.
Picha huyo nyingine JB alieleza kuwa huyo ni mdogo wao wa mwisho...