Wanaume 13 washtakiwa kwa udhalilishaji
Wanaume 13 asili ya Somalia washtakiwa kwa udhalilishaji dhidi ya Watoto wa kike
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili21 Dec
Wanaume 28 washtakiwa kwa uasherati
Watu 28 wamefikishwa mahakamani mjini Cairo Misri kutokana na mashtaka ya uasherati
10 years ago
Vijimambo28 Feb
DC Makonda kutinga kortini kwa udhalilishaji.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Makonda-28Feb2015.jpg)
Viongozi wawili wa Chama cha Mapinduzi (CCM), wanakusudia kumfikisha mahakamani Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda, Jumatatu ijayo kwa madai ya kuwakashifu, kuwadhalilisha na kuwatukana.
Viongozi hao ni aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, John Guninita na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida Mgana Msindai.
Akisoma kusudio hilo jana mbele ya waandishi wa habari kwa niaba ya mwenzake, Guninita alisema.
Makonda hakustahili kuteuliwa...
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Tucta yamshukia Makonda kwa udhalilishaji
Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta) limelaani watendaji wa Serikali katika ngazi mbalimbali kuwakandamiza na kuwadhalilisha wafanyakazi kwa kisingizio cha kaulimbiu ya Rais John Magufuli ya ‘Hapa Kazi Tu’.
10 years ago
BBCSwahili14 Mar
Washtakiwa kwa kutaka kujiunga na IS
Watu watatu wenyeji wa mji wa New York nchini Marekani wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na mashtaka ya kujaribu kuwasaidia IS
9 years ago
BBCSwahili08 Oct
Messi na babake washtakiwa kwa wizi
Jaji mmoja nchini Uhispania ameagiza kwamba nyota wa timu ya Barcelona na Argenstina Lionel Messi ,ni sharti ashtakiwe kwa mashtaka ya kuibia mamlaka ya ushuru zaidi ya dola milioni 4.
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Washtakiwa Marekani kwa uhaini Gambia
Marekani imewafungulia mashitaka watu wawili kwa kuhusika na jaribio la kutaka kuiangusha serikali ya Gambia wiki iliyopita.
10 years ago
BBCSwahili04 Jun
Watu 5 washtakiwa kwa mauaji ya Garissa
Watu watano wameshtakiwa kwa tuhuma za kula njama za kufanya kitendo cha ugaidi kuhusiana na shambulio lililofanywa na Al Shabaab huko Garissa
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Sita washtakiwa kwa ugaidi Arusha
WATUHUMIWA sita wanaodaiwa kurusha bomu katika mgahawa wa Vama Tradition jijini Arusha, Julai 7, mwaka huu, na kusababisha watu wanane kujeruhiwa huku mmoja wao akikatwa mguu, wamepandishwa kizimbani na kusomewa...
9 years ago
BBCSwahili02 Nov
Polis 4 washtakiwa kwa kuua mshukiwa
Maafisa wanne wa polisi wameshtakiwa baada ya kunaswa na kamera za siri CCTV wakimpiga risasi na kumuua mshukiwa mmoja wa uhalifu
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania