Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu 5 washtakiwa kwa mauaji ya Garissa

Watu watano wameshtakiwa kwa tuhuma za kula njama za kufanya kitendo cha ugaidi kuhusiana na shambulio lililofanywa na Al Shabaab huko Garissa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Cecafa yatoa pole kwa mauaji ya Garissa

Baraza la Vyama vya Soka vya Afrika Mashariki na Kati limesikitishwa na mauaji ya Chuo cha Garissa nchini Kenya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Matukio 10 makuu baada ya mauaji Garissa

Imepita sasa juma moja tangu wanamgambo wa Al Shabaab kuua watu 148 huko Garissa,matukio 10 makuu yaliyofuatia tukio hilo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wapinga mauaji ya washukiwa Garissa

Wakaazi wa mji wa Garissa nchini Kenya wamevishtumu vikosi vya usalama kwa kuwaua washukiwa wa ugaidi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mauaji Garissa:Simanzi yatanda Nairobi

Biwi la simanzi lilitanda pale jamaa na marafiki wa wanafunzi waliouawa walipofika katika chumba cha kuhifadhia maiti,Nairobi

 

10 years ago

Vijimambo

UJUMBE WA MMOJA WA WAHANGA WA MAUAJI YA GARISSA, KENYA ALIOMWANDIKIA MPENZI WAKE

Mapenzi yanavyoweza kuwa na nguvu unamkumbuka mpenzi wako kwanza kabla ya Mwenyezi Mungu na wazazi wako chezea mapenzi wewe

 

11 years ago

Dewji Blog

Mahakama Moshi yaawachia huru washtakiwa 9 na kuwatia hatiani 3 kesi ya mauaji ya NMB Mwanga

moshi 1

Mshtakiwa namba 3, Kalisti Joseph Kanje (aliyebeba mafaili), Mshtakiwa namba moja, Samwel Gitau Saitoti (alifunika uso) na mwenzake Mshtakiwa namba 2, Michael Kimani wakitoka nje ya mahakama kuu baada  ya mahakama hiyo kuwatia hatiani kwa kosa la kuua Askari polisi katika  tukio la uporaji wa benki ya NMB Mwanga.

moshi 2

Washtakiwa namba 4 hadi 12, wakisaidiwa kupanda kwenye gari la Polisi baada ya mahakama kuu  kanda ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, kuwaachia huru jana mchana katika kesi ya mauaji...

 

11 years ago

Mwananchi

Watu 10 wahojiwa kwa mauaji Tarime

Watu 10 wanashikiliwa na polisi kwa mahojiano baada ya kukamatwa na msako wa kikosi kazi kwa kushirikiana na Polisi wa Mkoa wa Kipolisi Tarime/Rorya, baada ya kutokea kwa mauaji ya hivi karibuni wilayani Tarime dhidi ya mtu asiyefahamika wala aina ya bunduki yake.

 

10 years ago

Dewji Blog

23 washikiliwa na Polisi kwa mauaji ya watu 4

DSC01646

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka.

Na Nathaniel Limu, Singida

JESHI la polisi mkoa wa Singida, linawashikilia watu 23 wakazi  wa kijiji cha Nkyala kata ya shelui wilaya Iramba mkoa wa Singida, kwa tuhuma ya kudaiwa kuuawa kwa makusudi wezi wanne wa madume ya Ng’ombe.

Akizungumza na waandishi wa habari jana ofisini kwake, Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka, alisema watu hao kati yao 21 wanatuhumiwa kwa mauaji na wawili...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 5 kortini kwa mauaji Uchina

Watu watano wafuasi wa dhehebu la ''Church of Almighty God'' wafikishwa mahakamani kwa mauaji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani