Mauaji Garissa:Simanzi yatanda Nairobi
Biwi la simanzi lilitanda pale jamaa na marafiki wa wanafunzi waliouawa walipofika katika chumba cha kuhifadhia maiti,Nairobi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 Apr
‘Hiyo ni kitu mbaya’: Vilio, simanzi baada ya mabomu kuua 6 Nairobi [VIDEO]
Mabomu hayo yalirindima saa moja unusu jioni katika vijiwe vya Sheraton Café na The New Kwa Muzairua Super Grill Centre, Eastleigh.Â
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/L5FNdOkpk1baqUgSz7xPeoiqwwQMFPxOZI-Dx8XNf-ryvRHsvvM7kBKN0zgT1OaoWA-PQ5MHAK7f8UxjxAaIx9oasW-R8Zem/12_0.png?width=650)
JIJI LA NAIROBI LAKANUSHA KUZIKA MAITI ZA GARISSA KABURI MOJA
Wafanyakazi wa shirika la kujitolea la Msalaba Mwekundu nchini Kenya wakipanga majeneza yenye miili ya marehemu wa shambulio la Garissa katika chumba cha kuhifadhia maiti kwenye hospitali ya Chiromo jana. HALMASHAURI ya jiji la Nairobi imekataa ripoti kwamba jana iliwazika wanafunzi waliouawa katika mashambulizi ya kigaidi kwenye Chuo Kikuu cha Garissa kiasi cha wiki mbili zilizopita, kwenye kaburi la pamoja. Akizungumza katika...
10 years ago
BBCSwahili10 Apr
Matukio 10 makuu baada ya mauaji Garissa
Imepita sasa juma moja tangu wanamgambo wa Al Shabaab kuua watu 148 huko Garissa,matukio 10 makuu yaliyofuatia tukio hilo.
10 years ago
BBCSwahili04 Jun
Watu 5 washtakiwa kwa mauaji ya Garissa
Watu watano wameshtakiwa kwa tuhuma za kula njama za kufanya kitendo cha ugaidi kuhusiana na shambulio lililofanywa na Al Shabaab huko Garissa
10 years ago
BBCSwahili01 May
Raia wapinga mauaji ya washukiwa Garissa
Wakaazi wa mji wa Garissa nchini Kenya wamevishtumu vikosi vya usalama kwa kuwaua washukiwa wa ugaidi.
10 years ago
BBCSwahili08 Apr
Cecafa yatoa pole kwa mauaji ya Garissa
Baraza la Vyama vya Soka vya Afrika Mashariki na Kati limesikitishwa na mauaji ya Chuo cha Garissa nchini Kenya.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-IUCxiz4DzrI/VSAbuOMXyqI/AAAAAAADeqM/DmNqVdU1moE/s72-c/ujumbe.jpg)
UJUMBE WA MMOJA WA WAHANGA WA MAUAJI YA GARISSA, KENYA ALIOMWANDIKIA MPENZI WAKE
Mapenzi yanavyoweza kuwa na nguvu unamkumbuka mpenzi wako kwanza kabla ya Mwenyezi Mungu na wazazi wako chezea mapenzi wewe![](http://3.bp.blogspot.com/-IUCxiz4DzrI/VSAbuOMXyqI/AAAAAAADeqM/DmNqVdU1moE/s1600/ujumbe.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IUCxiz4DzrI/VSAbuOMXyqI/AAAAAAADeqM/DmNqVdU1moE/s1600/ujumbe.jpg)
10 years ago
Vijimambo05 Feb
Simanzi shuleni
Wanafunzi wawili waangukiwa na ukuta, wafa, Watatu wajeruhiwa, wakimbizwa hospitalini.
Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Kipolisi wa Temeke, Kihenya Kihenya.
Wanafunzi wawili wa darasa la nne katika shule ya msingi ya Unity, iliyopo Chamazi, eneo la Mbagala, Manispaa ya Temeke, wamefariki dunia baada ya kuangukiwa na ukuta wa darasa la shule hiyo uliogongwa na gari.
Kadhalika, wanafunzi watatu wamejeruhiwa baada ya kijana wa kazi wa mmiliki wa shule hiyo, ambaye siyo dereva kujaribu kuendesha gari...
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Kihenya-05Feb2015.jpg)
Wanafunzi wawili wa darasa la nne katika shule ya msingi ya Unity, iliyopo Chamazi, eneo la Mbagala, Manispaa ya Temeke, wamefariki dunia baada ya kuangukiwa na ukuta wa darasa la shule hiyo uliogongwa na gari.
Kadhalika, wanafunzi watatu wamejeruhiwa baada ya kijana wa kazi wa mmiliki wa shule hiyo, ambaye siyo dereva kujaribu kuendesha gari...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*r6sbmstWSOG-IQGMd52DN5*i6J3J6wtcKVA9peCQ1m3PH7hJPJpSv-l2EnoRzN7l6V1avSXST*pZ9mqy1RjRFP/ngaluma.jpg)
SIMANZI MAZISHI YA AMINA NGALUMA
Stori: WAANDISHI WETU Vilio! Majonzi na simanzi vimetawala kwenye mazishi ya aliyekuwa mwimbaji wa dansi Bongo, Amina Ngaluma ‘Japanese’ (41) aliyefariki dunia Mei 15, mwaka huu huko nchini Thailand. Mama mzazi wa Amina Nguluma akilia kwa uchungu usiku wa kupokea mwili wa Marehemu Amina Nguluma kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar. Mwanamuziki huyo wa siku nyingi ambaye alifariki dunia baada...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania