Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JIJI LA NAIROBI LAKANUSHA KUZIKA MAITI ZA GARISSA KABURI MOJA

Wafanyakazi wa shirika la kujitolea la Msalaba Mwekundu nchini Kenya wakipanga majeneza yenye miili ya marehemu wa shambulio la Garissa katika chumba cha kuhifadhia maiti kwenye hospitali ya Chiromo jana. HALMASHAURI ya jiji la Nairobi imekataa ripoti kwamba jana iliwazika wanafunzi waliouawa katika mashambulizi ya kigaidi kwenye Chuo Kikuu cha Garissa kiasi cha wiki mbili zilizopita, kwenye kaburi la pamoja. Akizungumza katika...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Maiti ajali ya basi wazikwa kaburi moja

NA RAMADHAN LIBENANGA, MOROGORO

MIILI ya abiria 15 walioteketea kwa moto katika ajali ya basi iliyotokea juzi katika eneo la Ruaha, Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro, imezikwa katika kaburi moja.
Ilizikwa jana asubuhi katika makaburi ya Msavu Ruaha wilayani humo.
Abiria hao walifariki dunia baada ya basi la Kampuni ya Nganga walilokuwa wakisafiria lenye namba za usajili T 373 DAH kugongana na lori aina ya Fuso lenye namba za usajili T 164 BKG.
Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, John Henjewele, alisema...

 

10 years ago

Vijimambo

Maiti 421 zagunduliwa ndani ya kaburi moja huko DRC

Mfano wa moja ya kaburi lililozikwa watu wengi kwa pamojaMfano wa moja ya kaburi lililozikwa watu wengi kwa pamoja
Mjadala mkali umezuka huko Kinshasa kufuatia kuzinduliwa kwa kaburi la pamoja ambalo lilizika watu 421 nje ya mji wa Kinshasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo-DRC.

Serikali ilielezea kwamba maiti zilizozikwa humo nyingi ni za watoto wachanga waliofariki wakati wa kuzaliwa kwenye mahospitali kadhaa pamoja na watu wazima ambao familia zao kwa kipindi kirefu walishindwa kugharamia mazishi. Lakini mashirika ya kutetea haki za...

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram wazuia watu kuzika maiti

Seneta Ahmed Zanna ameambia BBC kwamba miili imetapakaa katika barabara za mji wa Bama ambao Boko Haram imeuteka.

 

10 years ago

Mwananchi

Maiti 13 wazikwa kaburi la pamoja

Maiti 13 kati ya 19 za watu waliopoteza maisha katika ajali ya Basi la Nganga Express na lori iliyotokea juzi eneo la Iyovi, Milima ya Udzungwa mkoani Morogoro wamezikwa jana katika kaburi la pamoja eneo la Msamvu mkoani hapa. 

 

10 years ago

GPL

WAFUKUA KABURI, WAMVUA MAITI SUTI

Stori: Gabriel Ng’osha
Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linawasaka watu wanaosadikiwa kuwa ni wezi ambao wamebomoa kaburi la marehemu Napegwa Kishaluli (75), mkazi wa Mailimoja Kibaha na kuutoa mwili wake kisha kuiba suti, viatu na soksi alizokuwa amevalishwa. Kaburi likiwa wazi baada ya kufukuliwa. Habari za kipolisi kutoka mkoani Pwani  zinasema kuwa, marehemu alizikwa Aprili 20, mwaka huu lakini siku saba baadaye...

 

11 years ago

Mwananchi

Kaburi lafukuliwa, maiti aachwa mtupu

Wakazi wa Kijiji cha Ilagala mkoani hapa,wamepatwa na bumbuwazi baada ya kukuta kaburi limefukuliwa na maiti ikiwa tupu bila sanda.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mauaji Garissa:Simanzi yatanda Nairobi

Biwi la simanzi lilitanda pale jamaa na marafiki wa wanafunzi waliouawa walipofika katika chumba cha kuhifadhia maiti,Nairobi

 

11 years ago

CloudsFM

HILI NDILO KABURI LILILOVUNJA REKODI,MAITI YAWEKEWA KITANDA,TV,VINYWAJI N.K.

Sasa uachane na stori zote za watu maarufu na wasio maarufu, matajiri na masikini waliokufa na kuzikwa ndani ya majeneza mazuri na yaliyo na thamani kubwa, hayo tulikwisha yazoea kitambo sana.Kiboko cha yaote mtu aliyezikwa katika kaburi lililotengenezwa kama chumba cha kulala kilicho na samani tofauti za thamani kubwa sana kama vile flat screen, dreassing table, kitanda na vitu vingine vingi mpaka mvinyo, perfumes na vingine vingi, hii ndio top katika dunia hii, angalia picha zaidi za tukio...

 

10 years ago

Habarileo

Abiria ajali ya moto wazikwa kaburi moja

Maziko ya mabaki ya miili ya abiria waliokuwa katika basi la Nganga lililoungua moto baada ya kugongana na Fuso mkoani Morogoro, yakifanyika katika kaburi la pamoja.MAELFU ya wakazi wa Tarafa ya Kidatu wilaya ya Kilombero na Mikumi, wilayani Kilosa mkoani Morogoro, walijawa na simanzi kubwa zilizotawaliwa na vilio wakati wa maziko ya miili ya watu 15 waliozikwa jana kwenye kaburi moja, ikiwa ni siku moja baada ya kufa kwa kuteketea kwa moto baada ya basi walilokuwa wakisafiria la Kampuni ya Nganga Express kulipuka lililopogongana na lori aina ya Mitsubishi Fuso.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani