Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Boko Haram wazuia watu kuzika maiti

Seneta Ahmed Zanna ameambia BBC kwamba miili imetapakaa katika barabara za mji wa Bama ambao Boko Haram imeuteka.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Boko Haram wamewaua watu 1500

Shirika la Amnesty International linasema kuwa takriban watu 1500 wameuawa katika miezi mitatu ya kwanza ya mwaka huu Kaskazini mashariki mwa Nigeria na kundi la Boko Haram

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram lawaua watu 20 Nigeria

Watu 20 wameuawa mashariki mwa Nigeria kufuatia mashambulizi mapya yanayoendeshwa na kundi la Boko Haram katika eneo hilo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram lawaua watu 10 Cameroon

Takriban watu 10 wameuawa kazkazini mwa Cameroon katika shambulio baya lililotekelezwa na kundi hatari la kiislamu la Boko Haram.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 18 wauawa na Boko Haram-Nigeria

Wapiganaji wa Kiislamu nchini NIgeria wamekishambulia kijiji Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo na kuwaua kiasi ya watu 18.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 39 wauawa na Boko Haram-Nigeria

Utawala wa jimbo la Borno lililoko Kaskazini mwa Nigeria umesema watu 39 wameuawa katika shambulizi lililofanywa mjini Konduga

 

9 years ago

BBCSwahili

Boko Haram yaua watu 40 Chad

Maafisa wa hospitalini wanasema zaidi ya watu 40 wameuawa na wengine 50 kujeruhiwa kufuatia msururu wa milipuko nchini Chad.

 

10 years ago

GPL

JIJI LA NAIROBI LAKANUSHA KUZIKA MAITI ZA GARISSA KABURI MOJA

Wafanyakazi wa shirika la kujitolea la Msalaba Mwekundu nchini Kenya wakipanga majeneza yenye miili ya marehemu wa shambulio la Garissa katika chumba cha kuhifadhia maiti kwenye hospitali ya Chiromo jana. HALMASHAURI ya jiji la Nairobi imekataa ripoti kwamba jana iliwazika wanafunzi waliouawa katika mashambulizi ya kigaidi kwenye Chuo Kikuu cha Garissa kiasi cha wiki mbili zilizopita, kwenye kaburi la pamoja. Akizungumza katika...

 

9 years ago

BBCSwahili

Boko Haram ‘wameua watu 380’ Cameroon

Shirika la Amnesty International limesema watu 380 wameuawa na wapiganaji wa Boko Haram kaskazini mwa Cameroon tangu Desemba.

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram lawaua watu 38 nchini Niger

Wapiganaji wa kundi la Boko Haram kutoka Nigeria wamewaua watu 38 katika shambulio katika vijiji viwili kusini mwa Niger.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani