Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanaume 28 washtakiwa kwa uasherati

Watu 28 wamefikishwa mahakamani mjini Cairo Misri kutokana na mashtaka ya uasherati

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mtandao wa kukuza uasherati washtakiwa

Mtandao wa kuwakutanisha wapendanao na unaowalenga watu walio katika ndoa nchini Ufaransa umeshtumiwa kwa kuvunja sheria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaume 13 washtakiwa kwa udhalilishaji

Wanaume 13 asili ya Somalia washtakiwa kwa udhalilishaji dhidi ya Watoto wa kike

 

10 years ago

BBCSwahili

Washtakiwa kwa kutaka kujiunga na IS

Watu watatu wenyeji wa mji wa New York nchini Marekani wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na mashtaka ya kujaribu kuwasaidia IS

 

10 years ago

BBCSwahili

Washtakiwa Marekani kwa uhaini Gambia

Marekani imewafungulia mashitaka watu wawili kwa kuhusika na jaribio la kutaka kuiangusha serikali ya Gambia wiki iliyopita.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sita washtakiwa kwa ugaidi Arusha

WATUHUMIWA sita wanaodaiwa kurusha bomu katika mgahawa wa Vama Tradition jijini Arusha, Julai 7, mwaka huu, na kusababisha watu wanane kujeruhiwa huku mmoja wao akikatwa mguu, wamepandishwa kizimbani na kusomewa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Messi na babake washtakiwa kwa wizi

Jaji mmoja nchini Uhispania ameagiza kwamba nyota wa timu ya Barcelona na Argenstina Lionel Messi ,ni sharti ashtakiwe kwa mashtaka ya kuibia mamlaka ya ushuru zaidi ya dola milioni 4.

 

9 years ago

BBCSwahili

Polis 4 washtakiwa kwa kuua mshukiwa

Maafisa wanne wa polisi wameshtakiwa baada ya kunaswa na kamera za siri CCTV wakimpiga risasi na kumuua mshukiwa mmoja wa uhalifu

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 5 washtakiwa kwa mauaji ya Garissa

Watu watano wameshtakiwa kwa tuhuma za kula njama za kufanya kitendo cha ugaidi kuhusiana na shambulio lililofanywa na Al Shabaab huko Garissa

 

9 years ago

BBCSwahili

Waliopanga mechi Nepal washtakiwa kwa uhaini

Wachezaji 5 wa timu ya taifa ya Nepal wamefikishwa mahakamani katika mji mkuu wa Kathmandu kujibu mashtaka ya uhaini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani