Mtandao wa kukuza uasherati washtakiwa
Mtandao wa kuwakutanisha wapendanao na unaowalenga watu walio katika ndoa nchini Ufaransa umeshtumiwa kwa kuvunja sheria.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili21 Dec
Wanaume 28 washtakiwa kwa uasherati
Watu 28 wamefikishwa mahakamani mjini Cairo Misri kutokana na mashtaka ya uasherati
9 years ago
Mwananchi30 Dec
Washtakiwa wizi wa mtandao wasota rumande
Watu watatu wanaokabiliwa na kesi ya wizi wa kimtandao na kujipatia Sh4milioni kwa njia ya udanganyifu, wataendelea kusota rumande hadi Januari 11, mwakani.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SwLvdmcGtzU/VR6mW0nXhwI/AAAAAAAHPHM/I20UdBUNpZU/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
Mtandao wa waandishi kupitia mitandao nchini watoa tamko didi ya muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao,2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-SwLvdmcGtzU/VR6mW0nXhwI/AAAAAAAHPHM/I20UdBUNpZU/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
10 years ago
BBCSwahili26 Feb
Waliojaribu kujiunga na IS washtakiwa
Wanaume wawili wamefikishwa mbele ya mahakama Jijini New York kwa mashtaka ya kupanga kwenda Syria ili kujiunga na is
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Washtakiwa TRA wapata dhamana
Washtakiwa wanne katika kesi ya uhujumu uchumi na kuisababishia hasara Serikali ya Sh 12.7 bilioni katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wamepata dhamana na kufanya idadi ya waliopata dhamana kufikia saba.
9 years ago
BBCSwahili14 Dec
‘Viongozi wa mapinduzi’ Burundi washtakiwa
Waziri wa zamani wa ulinzi nchini Burundi Cyrille Ndayirukiye amefikishwa kortini akishtakiwa kupanga mapinduzi dhidi ya serikali ya Rais Pierre Nkurunziza.
9 years ago
BBCSwahili03 Jan
Waisraeli washtakiwa kuua Wapalestina
Maafisa wa mashtaka nchini Israel wamewashtaki washukiwa wawili kuhusiana na shambulio katika nyumba moja ya Wapalestina eneo la Ukingo Magharibi.
10 years ago
BBCSwahili14 Mar
Washtakiwa kwa kutaka kujiunga na IS
Watu watatu wenyeji wa mji wa New York nchini Marekani wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na mashtaka ya kujaribu kuwasaidia IS
9 years ago
BBCSwahili06 Oct
Wanafunzi 20 washtakiwa na ulevi Kenya
Wanafunzi 20 wa shule za upili nchini Kenya wamepelekwa mahakamani na kushtakiwa kwa kuwa walevi na wenye tabia mbaya.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania