Waliojaribu kujiunga na IS washtakiwa
Wanaume wawili wamefikishwa mbele ya mahakama Jijini New York kwa mashtaka ya kupanga kwenda Syria ili kujiunga na is
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili14 Mar
Washtakiwa kwa kutaka kujiunga na IS
Watu watatu wenyeji wa mji wa New York nchini Marekani wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na mashtaka ya kujaribu kuwasaidia IS
10 years ago
Habarileo16 May
Waliojaribu kumpindua Nkurunziza wakamatwa
MAJENERALI watatu wa jeshi la Burundi wanaotuhumiwa kujaribu kupindua serikali ya Rais Pierre Nkurunziza wamekamatwa, zimesema taarifa kutoka nchini humo.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HuMMOERHkUs/VdggBAYS7vI/AAAAAAAHzDk/FDKhIEakwMg/s72-c/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
MAKONDA AWAHIMIZA WASANII KUJIUNGA NA BIMA YA AFYA: Awataka kutumia taaluma yao kuhamasisha wengine kujiunga
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda amesema wakati sasa umefika kwa wasanii kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, badala ya kuendelea kuchangishana fedha za matibabu kila wanapougua.
Amesema kutokana na kupanda kwa gharama za maisha hivi sasa zikiwemo za matibabu, wasaani wana kila sababu ya kuona umuhimu wa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ili wanapougua watibiwe kwa kutumia kadi badala ya kuhangaika kutafuta fedha taslimu.
Makonda alikuwa akizungumza wakati wa ufunguzi...
Amesema kutokana na kupanda kwa gharama za maisha hivi sasa zikiwemo za matibabu, wasaani wana kila sababu ya kuona umuhimu wa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ili wanapougua watibiwe kwa kutumia kadi badala ya kuhangaika kutafuta fedha taslimu.
Makonda alikuwa akizungumza wakati wa ufunguzi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8HH4usEZH8Y/VGHrVap9NQI/AAAAAAACujw/wA4AXd7MWcg/s72-c/namba%2B9.jpg)
WANANCHI WA MUHEZA WAHAMASIKA KUJIUNGA NA MFUKO WA AFYA YA JAMII, ZAIDI YA KAYA 65 ZENYE WANACHAMA 390 WAHAMASIKA NA KUJIUNGA PAPO HAPO
![](http://4.bp.blogspot.com/-8HH4usEZH8Y/VGHrVap9NQI/AAAAAAACujw/wA4AXd7MWcg/s1600/namba%2B9.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PsIGIFeup4Q/VGHrcV5VOiI/AAAAAAACukU/gFb9qIJCKlI/s1600/picha%2Bnamba%2B1.jpg)
10 years ago
Mwananchi16 Oct
Kina Fuime washtakiwa upya
Siku chache baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kuwafutia mashtaka ya mauaji ya kukusudia aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime na wenzake 11, hatimaye jana walisomewa mashtaka mengine mapya ya kuua bila ya kukusudia katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
10 years ago
BBCSwahili04 Dec
Raia 77 wa Uchina washtakiwa Kenya
Polisi nchini Kenya wamewafikisha mahakamani raia 77 wa Uchina kwa kushukiwa kushiriki udukuzi wa mawasiliano na ulanguzi wafedha.
9 years ago
BBCSwahili14 Dec
‘Viongozi wa mapinduzi’ Burundi washtakiwa
Waziri wa zamani wa ulinzi nchini Burundi Cyrille Ndayirukiye amefikishwa kortini akishtakiwa kupanga mapinduzi dhidi ya serikali ya Rais Pierre Nkurunziza.
10 years ago
BBCSwahili28 Nov
Wanaume 13 washtakiwa kwa udhalilishaji
Wanaume 13 asili ya Somalia washtakiwa kwa udhalilishaji dhidi ya Watoto wa kike
9 years ago
BBCSwahili06 Oct
Wanafunzi 20 washtakiwa na ulevi Kenya
Wanafunzi 20 wa shule za upili nchini Kenya wamepelekwa mahakamani na kushtakiwa kwa kuwa walevi na wenye tabia mbaya.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania