Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliojaribu kujiunga na IS washtakiwa

Wanaume wawili wamefikishwa mbele ya mahakama Jijini New York kwa mashtaka ya kupanga kwenda Syria ili kujiunga na is

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Washtakiwa kwa kutaka kujiunga na IS

Watu watatu wenyeji wa mji wa New York nchini Marekani wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na mashtaka ya kujaribu kuwasaidia IS

 

10 years ago

Habarileo

Waliojaribu kumpindua Nkurunziza wakamatwa

Rais Pierre Nkurunziza wa BurundiMAJENERALI watatu wa jeshi la Burundi wanaotuhumiwa kujaribu kupindua serikali ya Rais Pierre Nkurunziza wamekamatwa, zimesema taarifa kutoka nchini humo.

 

9 years ago

Michuzi

MAKONDA AWAHIMIZA WASANII KUJIUNGA NA BIMA YA AFYA: Awataka kutumia taaluma yao kuhamasisha wengine kujiunga

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda amesema wakati sasa umefika kwa wasanii kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, badala ya kuendelea kuchangishana fedha za matibabu kila wanapougua.
Amesema kutokana na kupanda kwa gharama za maisha hivi sasa zikiwemo za matibabu, wasaani wana kila sababu ya kuona umuhimu wa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ili wanapougua watibiwe kwa kutumia kadi badala ya kuhangaika kutafuta fedha taslimu.
Makonda alikuwa akizungumza wakati wa ufunguzi...

 

10 years ago

Michuzi

WANANCHI WA MUHEZA WAHAMASIKA KUJIUNGA NA MFUKO WA AFYA YA JAMII, ZAIDI YA KAYA 65 ZENYE WANACHAMA 390 WAHAMASIKA NA KUJIUNGA PAPO HAPO

  Mkuu wa wilaya ya Muheza Subira Mgalu kushoto akipokea risiti ya malipo mara baada ya kujiunga kuwa mwanachama wa mfuko wa afya ya Jamii (CHF) leo wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo iliyofanyika kwenye Kata ya Potwe wilayani humo anayemkabidhi risiti hiyo ni Afisa Tabibu wa Zahanati ya Potwe wilayani humo Dr.Samweli Mudhihiri ambapo zaidi ya kaya 65 zenye wanachama 390 walihamasika na kujiunga papo hapo. PICHA ZOTE NA OSCAR ASSENGA,TANGA.  Picha namba moja ni  Mkuu wa wilaya ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Kina Fuime washtakiwa upya

Siku chache baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kuwafutia mashtaka ya mauaji ya kukusudia aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime na wenzake 11, hatimaye jana walisomewa mashtaka mengine mapya ya kuua bila ya kukusudia katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia 77 wa Uchina washtakiwa Kenya

Polisi nchini Kenya wamewafikisha mahakamani raia 77 wa Uchina kwa kushukiwa kushiriki udukuzi wa mawasiliano na ulanguzi wafedha.

 

9 years ago

BBCSwahili

‘Viongozi wa mapinduzi’ Burundi washtakiwa

Waziri wa zamani wa ulinzi nchini Burundi Cyrille Ndayirukiye amefikishwa kortini akishtakiwa kupanga mapinduzi dhidi ya serikali ya Rais Pierre Nkurunziza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaume 13 washtakiwa kwa udhalilishaji

Wanaume 13 asili ya Somalia washtakiwa kwa udhalilishaji dhidi ya Watoto wa kike

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanafunzi 20 washtakiwa na ulevi Kenya

Wanafunzi 20 wa shule za upili nchini Kenya wamepelekwa mahakamani na kushtakiwa kwa kuwa walevi na wenye tabia mbaya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani