Kina Fuime washtakiwa upya
Siku chache baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kuwafutia mashtaka ya mauaji ya kukusudia aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime na wenzake 11, hatimaye jana walisomewa mashtaka mengine mapya ya kuua bila ya kukusudia katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hw5cAyb55U8/UyB_Zw8AP9I/AAAAAAAFTKI/R2xjFggrrvI/s72-c/IMG_6467.jpg)
Mkurugenzi wa zamani wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime na wenzake 11 wasomea upya mashtaka 27 ya mauji katika ajali ya kuporomoka kwa jengo la ghorofa 16,jijini dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-hw5cAyb55U8/UyB_Zw8AP9I/AAAAAAAFTKI/R2xjFggrrvI/s1600/IMG_6467.jpg)
Mbali na Fuime washtakiwa wengine ni, Diwani wa Kata ya Goba, Ibrahim Mohamed maarufu kama Kisoki, Raza Ladha, Goodluck Mbanga, Willbroad Mugyabuso,Mohamed Abdulkarim, Charles Ogare, Zonazea Oushoudada, Vedasto Ruhale,...
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Fuime na wenzake wafutiwa mashtaka
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imewafutia mashtaka ya mauaji ya kukusudia aliyekuwa mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime na wenzake 11 na badala yake imeamuru washtakiwe kwa mauaji ya kuua bila kukusudia.
11 years ago
IPPmedia13 Mar
Former Ilala Municipal Executive Director Gabriel Fuime
IPPmedia
IPPmedia
The 11 people accused of manslaughter following the March 2013 collapse of a 14-storey building in Dar es Salaam in which 27 people were killed were yesterday charged with murder. The prosecution also joined their case with that of the former Ilala ...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lTlQOVXQOgs/VDpSXNLxQKI/AAAAAAAGpeo/Vq5W_DCCJik/s72-c/fuime_2.jpg)
GABRIEL FUIME AFUTIWA KESI YA MAUAJI NA KUWA MAUAJI BILA KUKUSUDIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-lTlQOVXQOgs/VDpSXNLxQKI/AAAAAAAGpeo/Vq5W_DCCJik/s1600/fuime_2.jpg)
10 years ago
BBCSwahili26 Feb
Waliojaribu kujiunga na IS washtakiwa
Wanaume wawili wamefikishwa mbele ya mahakama Jijini New York kwa mashtaka ya kupanga kwenda Syria ili kujiunga na is
10 years ago
BBCSwahili28 Nov
Wanaume 13 washtakiwa kwa udhalilishaji
Wanaume 13 asili ya Somalia washtakiwa kwa udhalilishaji dhidi ya Watoto wa kike
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Washtakiwa TRA wapata dhamana
Washtakiwa wanne katika kesi ya uhujumu uchumi na kuisababishia hasara Serikali ya Sh 12.7 bilioni katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wamepata dhamana na kufanya idadi ya waliopata dhamana kufikia saba.
9 years ago
BBCSwahili03 Jan
Waisraeli washtakiwa kuua Wapalestina
Maafisa wa mashtaka nchini Israel wamewashtaki washukiwa wawili kuhusiana na shambulio katika nyumba moja ya Wapalestina eneo la Ukingo Magharibi.
10 years ago
BBCSwahili14 Mar
Washtakiwa kwa kutaka kujiunga na IS
Watu watatu wenyeji wa mji wa New York nchini Marekani wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na mashtaka ya kujaribu kuwasaidia IS
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania