Waliojaribu kumpindua Nkurunziza wakamatwa
MAJENERALI watatu wa jeshi la Burundi wanaotuhumiwa kujaribu kupindua serikali ya Rais Pierre Nkurunziza wamekamatwa, zimesema taarifa kutoka nchini humo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 May
17 mahakamani kwa jaribio la kumpindua Nkurunziza
10 years ago
Mwananchi16 May
Nkurunziza atua Burundi, waasi watatu wakamatwa
10 years ago
BBCSwahili26 Feb
Waliojaribu kujiunga na IS washtakiwa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uY3PJt2fxPxow7rr65rFtPQohYI*2EKDx1cS8H8wtPI8Jy0PAmddVnEUCjVpEbJhjcxecYhNNQPyray75tgajIxm-KPu4CLj/cheni.jpg?width=650)
DK. CHENI KUMPINDUA RAY UENYEKITI
5 years ago
BBCSwahili11 Jun
Pierre Nkurunziza: Nani anaiongoza Burundi baada ya kifo cha Nkurunziza?
10 years ago
MichuziSABA WAKAMATWA KWA KUJIHUSISHA NA UTENGENEZAJI WA NOTI BANDIA ZA DOLA ZA KIMAREKANI WAKAMATWA
Watuhumiwa hao walikamatwa mnamo tarehe 04/8/2014 wakiwa na noti bandia zipatazo 10,640 za dola mia (100) ambazo ni sawa na dola 1,064,000 ambazo ni zaidi ya shilingi za Kitanzania...
10 years ago
TheCitizen09 May
Nkurunziza ‘under pressure’
10 years ago
Mtanzania16 May
Nkurunziza: Nitapambana
Na Waandishi Wetu, Bujumbura na Dar
RAIS Pierre Nkurunziza wa Burundi ameonya kuwa atalipa kisasi kwa yeyote atakayefanya mashambulizi nchini kwake.
Hata hivyo baadhi ya wachambuzi wa siasa za Burundi wanasema kauli hiyo inailenga nchi ya Rwanda, kwa kuwa Nkurunziza amesema vita yoyote itapiganwa upande wa pili wa mpaka.
Nkurunziza jana amepokelewa kwa shangwe alipowasili Bujumbura, ambao ni mji mkuu wa nchi hiyo akitokea nyumbani kwao mkoani Ngozi, huku akiendeshwa katika gari lililo wazi...