17 mahakamani kwa jaribio la kumpindua Nkurunziza
>Maofisa 17 wa Jeshi la Burundi wametiwa mbaroni wakiwamo majenerali watano na kufikishwa mahakamani kwa kosa la kuipindua Serikali ya Rais Pierre Nkurunziza.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo16 May
Waliojaribu kumpindua Nkurunziza wakamatwa
MAJENERALI watatu wa jeshi la Burundi wanaotuhumiwa kujaribu kupindua serikali ya Rais Pierre Nkurunziza wamekamatwa, zimesema taarifa kutoka nchini humo.
10 years ago
GPL16 May
WANAJESHI WA JARIBIO LA JARIBIO LA MAPINDUZI-BURUNDI WALIVYOKAMATWA
10 years ago
BBCSwahili29 Aug
4 hatiani kwa jaribio la kumuua Nyamwasa
10 years ago
Mwananchi12 Sep
Watanzania kwenda jela SA kwa jaribio la kuua
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uY3PJt2fxPxow7rr65rFtPQohYI*2EKDx1cS8H8wtPI8Jy0PAmddVnEUCjVpEbJhjcxecYhNNQPyray75tgajIxm-KPu4CLj/cheni.jpg?width=650)
DK. CHENI KUMPINDUA RAY UENYEKITI
10 years ago
Habarileo27 Jan
Kigogo BoT kizimbani kwa jaribio kuua polisi
MSHAURI wa masuala ya ulinzi katika Benki Kuu (BoT), Shaban Ndosi (39) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kujaribu kumuua ofisa wa Polisi.
5 years ago
BBCSwahili11 Jun
Pierre Nkurunziza: Nani anaiongoza Burundi baada ya kifo cha Nkurunziza?
9 years ago
StarTV27 Nov
 Mratibu Maabara Korogwe kukamatwa  kwa Jaribio La Kuiba Vipimo Vya Malaria
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga Hafsa Mtasiwa ameagiza kukamatwa kwa mratibu wa maabara wa halmashauri ya mji huo kwa madai ya kufanya jaribio la wizi wa vipimo vya kupimia ugonjwa wa Malaria MRDT.
Basondole anatuhumiwa kuchukua boksi la vifaa hivyo kutoka halmashauri ya wilaya ya Korogwe vijijini akidai Halmashauri ya Mji wa Korogwe anakofanya kazi kuna upungufu wa vifaa hivyo.
Ofisa wa dawa wa halmashauri ya wilaya ya Korogwe Issa Mkwawa amesema tukili lilo limetokea Novemba 11 na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-reT7fSF_m-k/VVSPH6dRZmI/AAAAAAAHXRs/ObkeLAYa93E/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-05-14%2Bat%2B2.56.00%2BPM.png)
MARAIS WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI WALAANI JARIBIO LA KUPINDULIWA KWA RAIS NKURUNZINZA - MEMBE
Globu ya Jamii
MARAIS wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wamelaani kitendo cha baadhi ya askari kufanya jaribio la kutaka kuipindua serikali ya Burundi.Akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es salaam leo, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe amesema kuwa hali ya Burundi ni tete na kwamba japo linaonekana ni jambo dogo lakini linaweza kugharimu maisha ya watu.
"Hivyo tunatakiwa tuvute subira...Tusubiri na sio kulitangaza suala hilo...