Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nkurunziza: Nitapambana

pierreNa Waandishi Wetu, Bujumbura na Dar

RAIS Pierre Nkurunziza wa Burundi ameonya kuwa atalipa kisasi kwa yeyote atakayefanya mashambulizi nchini kwake.

Hata hivyo baadhi ya wachambuzi wa siasa za Burundi wanasema kauli hiyo inailenga nchi ya Rwanda, kwa kuwa Nkurunziza amesema vita yoyote itapiganwa upande wa pili wa mpaka.

Nkurunziza jana amepokelewa kwa shangwe alipowasili Bujumbura, ambao ni mji mkuu wa nchi hiyo akitokea nyumbani kwao mkoani Ngozi, huku akiendeshwa katika gari lililo wazi...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Pierre Nkurunziza: Nani anaiongoza Burundi baada ya kifo cha Nkurunziza?

Zaidi ya saa 48 baada ya kifo cha ghafla cha rais wa Burundi Pierre Nkurunziza kumekuwa na sintofahamu kuhusu ni nani atakayechukuwa hatamu ya uongozi.

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli: Nitapambana na maharamia

Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amesema atapambana na maharamia wa kigeni wanaovua samaki katika Bahari ya Hindi, ili kulinda uchumi wa Tanzania.

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli: Nitapambana na wala rushwa

magufuliNa Bakari Kimwanga, Rukwa

MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli amesema ikiwa atachaguliwa kuongoza Serikali ya awamu ya tano atahakikisha anapambana na watendaji wala rushwa serikalini.

Amesema watendaji hao ndiyo wamekuwa wakikwamisha juhudi za Serikali kupeleka maendeleo kwa wananchi hali inayosababisha malalamiko ya wananchi.

Kauli hiyo aliitoa jana kwa nyakati tofauti alipohutubia wananchi katika mikutano ya kampeni  katika mikoa ya Katavi na Rukwa.

Dk....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kamani: Nitapambana na watumishi wabadhirifu

WAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Titus Kamani, ameahidi kupambana na watumishi watakaojihusisha na ubadhirifu ndani ya wizara hiyo. Waziri Kamani alitoa tahadhari hiyo jana, jijini Dar es Salaama...

 

10 years ago

Mwananchi

Ngeleja: Nitapambana na maadui sita

Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja ametangaza nia ya kuwania urais kupitia CCM, huku akiahidi kupambana na mambo sita aliyoyaita maadui wakuu wa nchi ambayo ni umaskini, ujinga, maradhi, rushwa, ufisadi na mmomonyoko wa maadili.

 

10 years ago

GPL

Okwi: Nitapambana na Yanga hadi tone la mwisho

Mwenyekiti wa Yanga Yusuph Manji. Na Sweetbert Lukonge
YETU macho katika hili; Hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi, ambaye juzi jioni alijiunga na Simba kudai kuwa atapambana na Wanajangwani hao kuhakikisha haki yake inapatikana. Maneno hayo ya Okwi yamekuja baada ya kudai kuwa Yanga imevunja naye mkataba kisha kumfungulia mashtaka katika Shirikisho la Soka Tanzania...

 

10 years ago

Vijimambo

Ngeleja atangaza nia ya kuwania Urais asema" Nitapambana na maadui sita"

Kada wa CCM kutoka Wilaya ya Sengerema mkoa wa Mwanza, akimkabidhi, Mbunge wa Jimbo hilo, William Ngeleja (wa pili kulia) kiasi cha Shilingi Milioni moja kwa ajili ya kuchukulia fomu ya urais. Picha na Aidan Mhando
Mwanza. Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja ametangaza nia ya kuwania urais kupitia CCM, huku akiahidi kupambana na mambo sita aliyoyaita maadui wakuu wa nchi ambayo ni umaskini, ujinga, maradhi, rushwa, ufisadi na mmomonyoko wa maadili.Akitangaza nia hiyo kwenye Ukumbi wa Benki...

 

10 years ago

TheCitizen

Nkurunziza ‘under pressure’

>International pressure continues to mount on President Pierre Nkurunziza ahead of a regional emergency meeting in Dar es Salaam next week to try and resolve the Burundi political crisis.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani