Ngeleja: Nitapambana na maadui sita
Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja ametangaza nia ya kuwania urais kupitia CCM, huku akiahidi kupambana na mambo sita aliyoyaita maadui wakuu wa nchi ambayo ni umaskini, ujinga, maradhi, rushwa, ufisadi na mmomonyoko wa maadili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo05 Jun
Ngeleja atangaza nia ya kuwania Urais asema" Nitapambana na maadui sita"
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2740800/highRes/1027308/-/maxw/600/-/8uuviez/-/pic+ngeleja.jpg)
Mwanza. Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja ametangaza nia ya kuwania urais kupitia CCM, huku akiahidi kupambana na mambo sita aliyoyaita maadui wakuu wa nchi ambayo ni umaskini, ujinga, maradhi, rushwa, ufisadi na mmomonyoko wa maadili.Akitangaza nia hiyo kwenye Ukumbi wa Benki...
10 years ago
Mtanzania16 May
Nkurunziza: Nitapambana
Na Waandishi Wetu, Bujumbura na Dar
RAIS Pierre Nkurunziza wa Burundi ameonya kuwa atalipa kisasi kwa yeyote atakayefanya mashambulizi nchini kwake.
Hata hivyo baadhi ya wachambuzi wa siasa za Burundi wanasema kauli hiyo inailenga nchi ya Rwanda, kwa kuwa Nkurunziza amesema vita yoyote itapiganwa upande wa pili wa mpaka.
Nkurunziza jana amepokelewa kwa shangwe alipowasili Bujumbura, ambao ni mji mkuu wa nchi hiyo akitokea nyumbani kwao mkoani Ngozi, huku akiendeshwa katika gari lililo wazi...
9 years ago
Mwananchi17 Oct
Magufuli: Nitapambana na maharamia
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Kamani: Nitapambana na watumishi wabadhirifu
WAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Titus Kamani, ameahidi kupambana na watumishi watakaojihusisha na ubadhirifu ndani ya wizara hiyo. Waziri Kamani alitoa tahadhari hiyo jana, jijini Dar es Salaama...
9 years ago
Mtanzania26 Aug
Magufuli: Nitapambana na wala rushwa
Na Bakari Kimwanga, Rukwa
MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli amesema ikiwa atachaguliwa kuongoza Serikali ya awamu ya tano atahakikisha anapambana na watendaji wala rushwa serikalini.
Amesema watendaji hao ndiyo wamekuwa wakikwamisha juhudi za Serikali kupeleka maendeleo kwa wananchi hali inayosababisha malalamiko ya wananchi.
Kauli hiyo aliitoa jana kwa nyakati tofauti alipohutubia wananchi katika mikutano ya kampeni katika mikoa ya Katavi na Rukwa.
Dk....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/g7CYaJh1SvJz2UoIQRJqbM7xUNRZfeBdIVdeDvHte29c8Al3soqlsGA4moolHvsO3FHRYdcp*2sTHjyF5c7Z-D83dSWDbMDc/manji.jpg)
Okwi: Nitapambana na Yanga hadi tone la mwisho
11 years ago
BBCSwahili26 Mar
AU:Anti Balaka ni kundi la maadui
10 years ago
Tanzania Daima19 Oct
Taifa limekumbatia maadui watatu
WIKI iliyopita taifa lilikumbwa na msiba mwingine. Watu zaidi ya sita wamefariki dunia na wengine zaidi ya 20 kujeruhiwa vibaya baada ya lori la mafuta kupinduka katika eneo la Mbagala...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j-_cqw-T2tA/VZj5NkiD89I/AAAAAAAHnC8/ERbVjow04_U/s72-c/images.jpg)
Ligi Daraja la Pili kuanza Oktoba 7, kuchezwa makundi manne ya timu sita sita nyumbani na ugenini
![](http://4.bp.blogspot.com/-j-_cqw-T2tA/VZj5NkiD89I/AAAAAAAHnC8/ERbVjow04_U/s400/images.jpg)