Magufuli: Nitapambana na wala rushwa
Na Bakari Kimwanga, Rukwa
MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli amesema ikiwa atachaguliwa kuongoza Serikali ya awamu ya tano atahakikisha anapambana na watendaji wala rushwa serikalini.
Amesema watendaji hao ndiyo wamekuwa wakikwamisha juhudi za Serikali kupeleka maendeleo kwa wananchi hali inayosababisha malalamiko ya wananchi.
Kauli hiyo aliitoa jana kwa nyakati tofauti alipohutubia wananchi katika mikutano ya kampeni katika mikoa ya Katavi na Rukwa.
Dk....
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-w6Ju0P-HHtc/VeCANr7l52I/AAAAAAAH0sQ/xBIpFYHfENM/s72-c/_MG_8415.jpg)
MAGUFULI AHIDI KUANZISHA MAHAKAMA YA MAFISADI NA WALA RUSHWA IWAPO ATACHAGULIWA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-w6Ju0P-HHtc/VeCANr7l52I/AAAAAAAH0sQ/xBIpFYHfENM/s640/_MG_8415.jpg)
Dkt Magufuli amesema kuwa serikali atakayoingoza atakapopata ridhaa ya kuingia Ikulu,itazifanya huduma za Afya kuwa bora na kuwabana wahudumu wa afya wenye tabia ya kuchukua dawa na kuziuza kwa watu binafsi.
Magufuli ambaye...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/PaDXs1f33g8/default.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-w6Ju0P-HHtc/VeCANr7l52I/AAAAAAAH0sQ/xBIpFYHfENM/s72-c/_MG_8415.jpg)
MAGUFULI AHIDI KUANZISHA MAHAKAMA YA MAFISADI NA WALA RUSHWA IWAPO ATACHAGULIWA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-w6Ju0P-HHtc/VeCANr7l52I/AAAAAAAH0sQ/xBIpFYHfENM/s640/_MG_8415.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NWeK14oK28Y/VeCAA5jGTLI/AAAAAAAH0rg/PM1zThJFtvc/s640/_MG_8247.jpg)
9 years ago
Mwananchi17 Oct
Magufuli: Nitapambana na maharamia
10 years ago
Habarileo11 Sep
Wabunge: Wala rushwa wanyongwe
BAADHI ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wamesema wala rushwa pamoja na wahujumu uchumi adhabu yao iwe ni kunyongwa. Wametaka Katiba mpya inayoenda kuandikwa itamke hivyo ili kufanya viongozi wa kisiasa kuogopa kama ilivyo kwenye nchi nyingine.
10 years ago
Habarileo29 May
Watendaji wala rushwa wanawaponza waadilifu
MBUNGE wa Mbarali, Modestus Kilufi (CCM), amesema watendaji wala rushwa na mafisadi wanasababisha mawaziri waadilifu walaumiwe bila sababu.
10 years ago
Mwananchi23 Sep
Trafiki wala rushwa kukiona watadhibitiwa
11 years ago
Mwananchi06 Jan
‘Trafiki wala rushwa Pwani kukiona’
10 years ago
Habarileo05 May
Majaji wafunzwa ‘kufunga’ wala rushwa
BAADA ya kupoteza kesi nyingi inazopeleka mahakamani, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imeshtuka na kuleta wataalamu kutoka nje ya nchi kuwafundisha mahakimu, majaji, waendesha mashitaka na wapelelezi wa kesi za rushwa juu ya namna ya kuwasilisha ushahidi ukiwemo ushahidi wa mazingira ambao ni muhimu katika kesi za rushwa.