Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AU:Anti Balaka ni kundi la maadui

Mkuu wa vikosi vya Afrika vya kulinda amani CAR,amesema kuwa vijana wapiganaji wa kikristo wanaojulikana kama anti-balaka,watatambulika kama maadui kutoka sasa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

FEATURE: Who are the anti-balaka in scarred CAR?

>“Balaka” is the Sango word for machete. Some sources say it also alludes to the French for bullets of an automatic rifle (“balle AK”). Either way, “anti-balaka” roughly means “invincible”

 

11 years ago

BBCSwahili

Anti-Balaka,Seleka kusitisha mapigano?

Wanamgambo kutoka kundi la Anti- Balaka na Seleka wametia saini mpango wa kusitisha mapigano

 

10 years ago

Dewji Blog

Wajumbe Kundi la 201 watoa tamko dhidi ya wanaolichafua Bunge Maalum la Katiba na Wajumbe wa kundi hilo

PIX 1

Askofu Amos Muhagachi akitoa tamko juu ya tuhuma mbalimbali dhidi ya kundi la 201 la wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba jana 03 Septemba, 2014 katika Ukumbi wa Spika, Mjini Dodoma.

Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.

WAWAKILISHI wa Taasisi za dini wa Bunge Maalum la Katiba toka wajumbe 201 wametoa tamko lao dhidi ya tuhuma mbalimbali zinazoendelea katika kulichafua Bunge hilo ikiwemo baadhi ya wajumbe wa kundi hilo wakituhumiwa kudaiwa kupewa rushwa.

Tamko hilo limetolewa jana 03 Septemba,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Taifa limekumbatia maadui watatu

WIKI iliyopita taifa lilikumbwa na msiba mwingine. Watu zaidi ya sita wamefariki dunia na wengine zaidi ya 20 kujeruhiwa vibaya baada ya lori la mafuta kupinduka katika eneo la Mbagala...

 

10 years ago

Mwananchi

Ngeleja: Nitapambana na maadui sita

Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja ametangaza nia ya kuwania urais kupitia CCM, huku akiahidi kupambana na mambo sita aliyoyaita maadui wakuu wa nchi ambayo ni umaskini, ujinga, maradhi, rushwa, ufisadi na mmomonyoko wa maadili.

 

10 years ago

Mwananchi

Jide: Maadui zangu wamebadilisha wimbo

Malkia wa muziki wa R&B, Lady Jay Dee amedai kuwa maadui zake wamebuni njia mpya ya kumwangusha, baada ya zile za awali kutofanikiwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Maadui’ hatari kwa afya ya binadamu

UJUZI wa kitabibu na teknolojia ya afya ya mwanadamu vinaendelea kukua. Licha ya maendeleo hayo, magonjwa ya kuambukiza yanaendelea kuikumba dunia na kuwatesa wanadamu. Serikali nyingi duniani zinaelemewa na gharama...

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi yashambulia maadui wa Assad Syria

Urusi imeanza kufanya mashambulizi ya anga dhidi ya wanaompinga rais wa Syria Bashar al-Assad

 

10 years ago

Mtanzania

Jukata: Sitta, Werema maadui wa Katiba

Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania Bw, Deus Kibamba

Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania Bw, Deus Kibamba

Na Michael Sarungi, Dar es Salaam

JUKWAA la Katiba Tanzania (Jukata) limesema Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema ni maadui waliosababisha mchakato wa upatikanaji wa Katiba Mpya kuharibika.

Akizungumza Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa Jukata, Deus Kibamba, alisema viongozi hao kwa nyakati tofauti kwa kutumia nyadhifa zao wameshindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani