Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliopanga mechi Nepal washtakiwa kwa uhaini

Wachezaji 5 wa timu ya taifa ya Nepal wamefikishwa mahakamani katika mji mkuu wa Kathmandu kujibu mashtaka ya uhaini.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Washtakiwa Marekani kwa uhaini Gambia

Marekani imewafungulia mashitaka watu wawili kwa kuhusika na jaribio la kutaka kuiangusha serikali ya Gambia wiki iliyopita.

 

11 years ago

BBCSwahili

Musharraf ashitakiwa kwa uhaini Pakistan

Mahakama nchini Pakistan imemsomea mashitaka ya uhaini mtawala wa zamani wa kijeshi Pervez Musharraf

 

11 years ago

BBCSwahili

Mali kumchunguza rais Toure kwa uhaini

Mali imetangaza mpango wa kumchunguza Rais wa zamani wa nchi hiyo Amadou Toumani Toure kwa kosa la uhaini.

 

10 years ago

Mtanzania

Mengi atuhumiwa kwa uhaini *Mwenyewe aibuka na kukanusha

Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Kampuni za IPP, Reginald Mengi, ametuhumiwa kutaka kuiangusha Serikali ya Rais Jakaya Kikwete na kumshughulikia baada ya kumaliza uongozi wake Oktoba, mwaka huu.

Baada ya tuhuma hizo kuelekezwa kwake na gazeti la Taifa Imara lililochapishwa Machi 23, mwaka huu likiwa na kichwa cha habari kinachosema, ‘Zitto amchongea Mengi kwa JK? Mwenyewe ameibuka Dar es Salaam jana na kuzikanusha mbele ya waandishi wa habari akisema zimemshtua na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Waliopanga mapinduzi Gambia mashakani

Waendesha mashtaka Marekani wamewafungulia mashtaka raia wa tatu wa Marekani waliohusika kwenye njama ya mapinduzi nchini Gambia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Washtakiwa kwa kutaka kujiunga na IS

Watu watatu wenyeji wa mji wa New York nchini Marekani wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na mashtaka ya kujaribu kuwasaidia IS

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaume 13 washtakiwa kwa udhalilishaji

Wanaume 13 asili ya Somalia washtakiwa kwa udhalilishaji dhidi ya Watoto wa kike

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaume 28 washtakiwa kwa uasherati

Watu 28 wamefikishwa mahakamani mjini Cairo Misri kutokana na mashtaka ya uasherati

 

9 years ago

BBCSwahili

Polis 4 washtakiwa kwa kuua mshukiwa

Maafisa wanne wa polisi wameshtakiwa baada ya kunaswa na kamera za siri CCTV wakimpiga risasi na kumuua mshukiwa mmoja wa uhalifu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani