Mali kumchunguza rais Toure kwa uhaini
Mali imetangaza mpango wa kumchunguza Rais wa zamani wa nchi hiyo Amadou Toumani Toure kwa kosa la uhaini.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili20 Jun
Rais Ibrahim Boubacar Keïta: Maelfu ya waandamanaji watoa wito kwa rais wa Mali kujiuzulu
11 years ago
BBCSwahili31 Mar
Musharraf ashitakiwa kwa uhaini Pakistan
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Washtakiwa Marekani kwa uhaini Gambia
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Waliopanga mechi Nepal washtakiwa kwa uhaini
10 years ago
Mtanzania18 Apr
Mengi atuhumiwa kwa uhaini *Mwenyewe aibuka na kukanusha
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Kampuni za IPP, Reginald Mengi, ametuhumiwa kutaka kuiangusha Serikali ya Rais Jakaya Kikwete na kumshughulikia baada ya kumaliza uongozi wake Oktoba, mwaka huu.
Baada ya tuhuma hizo kuelekezwa kwake na gazeti la Taifa Imara lililochapishwa Machi 23, mwaka huu likiwa na kichwa cha habari kinachosema, ‘Zitto amchongea Mengi kwa JK? Mwenyewe ameibuka Dar es Salaam jana na kuzikanusha mbele ya waandishi wa habari akisema zimemshtua na...
10 years ago
Habarileo16 May
Serikali kumchunguza DC wa Karagwe
SERIKALI imepokea tuhuma dhidi ya Mkuu wa Wilaya ya Karagwe, Darry Rwegasira za madai ya kuwanyanyasa wananchi wa wilaya hiyo na kuwapa kipaumbele wahamiaji haramu kutoka Rwanda.
10 years ago
BBCSwahili03 Jun
Maafisa wa Marekani kumchunguza Blatter
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uCeLa4uwiH-nKoOnS7*RqszZmfJX1a3POuqT7LHuXWXfpN*9pLz9Uioe3WAwnqyi12jJsLY2QOZVbvMGfgLN1-Xq-oXr-Q1L/2.jpg?width=650)
KUNA UMUHIMU WA KUMFUATILIA, KUMCHUNGUZA MPENZI WAKO?
9 years ago
StarTV02 Dec
Mwili waharibika kwa madai ya kuhifadhiwa chini kwa  madai ya uzembe Sekou Toure
Mwili wa kijana aliyekuwa akiishi mitaani jijini Mwanza marehemu Baraka Hamisi hatimaye umezikwa baada ya kukosa hifadhi katika jokofu la maiti kwa takribani siku sita katika Hospitali ya Mkoa wa Mwanza Sekou Toure
Marehemu Bakari Hamisi mwenye umri wa miaka 22 kijana wa mitaani aliyekuwa akijishughulisha na biashara ndogondogo alifariki dunia alipokuwa akipelekwa hospitalini hapo na vijana wenzake wa mitaani kwa ajili ya kupata matibabu.
Awali kabla ya kufikwa na mauti, vijana wenzake wa...