Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maafisa wa Marekani kumchunguza Blatter

Imeripotiwa kuwa Raisi wa Fifa,Sepp Blatter anafanyiwa uchunguzi na maafisa wa marekani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

FIFA:Blatter ailaumu UEFA na Marekani

Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter ameikashifu shirikisho la soka barani ulaya UEFA na Marekani kwa kuendesha kampeini ya kuipaka tope jina zuri la FIFA.

 

11 years ago

BBCSwahili

Venezuela yawatimua maafisa wa Marekani

Rais wa Venezuela,Nicolas Maduro amewatimua maafisa wa ubalozi wa Marekani akiwashutumu kuwaunga mkono wapinzani

 

9 years ago

Michuzi

VIONGOZI WAANDAMIZI WA TBN wakutana na maafisa wa ubalozi wa marekani

Viongozi waandamizi wa Tanzania Bloggers Network (TBN) wakigonganisha glasi na Afisa Mahusiano ya Umma wa Ubalozi wa Marekani Bi. Marissa Maurer (wa tatu kushoto) na Afisa wa Siasa na Uchumi wa ubalozi huo Bw. Vincent Spera (wa pili kushoto) walipokutana jijini Dar es salaam kwa mazungumzo yasiyo rasmi ili kubadilishana mawazo ya njia bora ya kuendeleza tasnia hiyo ya habari za mtandao inayokuja juu kwa kasi nchini. TBN ni umoja wa bloggers wapatao 100 waliouunda ili kujiendeleza na...

 

9 years ago

Dewji Blog

Blatter na Platini wafungiwa miaka 8 kutojihusisha na soka, Blatter achukua uamuzi huu

Untitled

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Rais wa Shirikisho la Dunia la Soka (FIFA), Sepp Blatter (kushoto) na Rais wa UEFA, Michel Platini wamefungiwa miaka 8 kutojihusiaha na soka na kamati ya maadili ya FIFA kwa kosa la kutumia mamlaka yao vibaya kwa kosa la matumizi mabaya ya fedha za FIFA.

Blatter na Platini wanadaiwa kuwa mwaka 2011, kugawiana pesa kiasi cha Euro Milioni 1.35 ambapo Blatter alimlipa Platini kama malipo kwa kazi ya kuwa mshauri wa Blatter mwaka 1999-2002.

Licha ya kuwafungia miaka...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali kumchunguza DC wa Karagwe

Darry RwegasiraSERIKALI imepokea tuhuma dhidi ya Mkuu wa Wilaya ya Karagwe, Darry Rwegasira za madai ya kuwanyanyasa wananchi wa wilaya hiyo na kuwapa kipaumbele wahamiaji haramu kutoka Rwanda.

 

5 years ago

Michuzi

Waziri wa Ulinzi wa Marekani na naibu wake wawekwa karantini baada ya maafisa 37 wa Pentagon kupatwa na corona

Waziri wa Ulinzi wa Marekani Mark Thomas Esper na Naibu wake wamewekwa karantini tangu Jumatatu ya jana baada ya kuthibitika kuwa, maafisa 37 wa wizara hiyo wameambukizwa virisi vya corona.

Taarifa ilitotolewa na Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imesema kuwa, miongoni mwa maafisa wa wizara hiyo walioathirika na virusi vya corona wamo askari 18, suala ambalo limezidisha wasiwasi wa kusambaa zaidi virusi hivyo katika jeshi la Marekani.

Habari hii ya kuwekwa karantini Waziri wa Ulinzi wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mali kumchunguza rais Toure kwa uhaini

Mali imetangaza mpango wa kumchunguza Rais wa zamani wa nchi hiyo Amadou Toumani Toure kwa kosa la uhaini.

 

10 years ago

GPL

KUNA UMUHIMU WA KUMFUATILIA, KUMCHUNGUZA MPENZI WAKO?

UHALI gani mpenzi msomaji wa safu yetu ya Show the Love. Bila shaka uko vizuri na kama pia ni mgonjwa, nakuombea kwa Mungu akutie nguvu upone haraka.Tukilifungua jamvi letu la leo, kama linavyojinasibu hapo juu katika kichwa cha habari. Mapenzi ni hisia, kuna tafsiri ambayo inasema mtu asipokufuatilia, asipokuchunguza katika mapenzi basi hakupendi. Watu utawasikia wakisema, lazima umfuatilie mpenzi wako ili ujue nyendo zake...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani