Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Venezuela yawatimua maafisa wa Marekani

Rais wa Venezuela,Nicolas Maduro amewatimua maafisa wa ubalozi wa Marekani akiwashutumu kuwaunga mkono wapinzani

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Sudan yawatimua maafisa wa UN

Umoja wa mataifa unasema kuwa Sudan imewafukuza maafisa wake wawili wakuu kutoka nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Venezuela yatoa Masharti kwa Marekani

Venezuela imeipa wiki mbili Marekani kuondoa baadhi ya Wanadiplomasia wake walio nchini Venezuela

 

5 years ago

BBCSwahili

Jinsi meli tano za mafuta zilizokuwa zikielekea Venezuela zilivyozua hofu kati ya Marekani na Iran

Hali ya wasiwasi kati ya Marekani na Iran imechukua sura mpya nchini Venezuela.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maafisa wa Marekani kumchunguza Blatter

Imeripotiwa kuwa Raisi wa Fifa,Sepp Blatter anafanyiwa uchunguzi na maafisa wa marekani.

 

9 years ago

Michuzi

VIONGOZI WAANDAMIZI WA TBN wakutana na maafisa wa ubalozi wa marekani

Viongozi waandamizi wa Tanzania Bloggers Network (TBN) wakigonganisha glasi na Afisa Mahusiano ya Umma wa Ubalozi wa Marekani Bi. Marissa Maurer (wa tatu kushoto) na Afisa wa Siasa na Uchumi wa ubalozi huo Bw. Vincent Spera (wa pili kushoto) walipokutana jijini Dar es salaam kwa mazungumzo yasiyo rasmi ili kubadilishana mawazo ya njia bora ya kuendeleza tasnia hiyo ya habari za mtandao inayokuja juu kwa kasi nchini. TBN ni umoja wa bloggers wapatao 100 waliouunda ili kujiendeleza na...

 

5 years ago

Michuzi

Waziri wa Ulinzi wa Marekani na naibu wake wawekwa karantini baada ya maafisa 37 wa Pentagon kupatwa na corona

Waziri wa Ulinzi wa Marekani Mark Thomas Esper na Naibu wake wamewekwa karantini tangu Jumatatu ya jana baada ya kuthibitika kuwa, maafisa 37 wa wizara hiyo wameambukizwa virisi vya corona.

Taarifa ilitotolewa na Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imesema kuwa, miongoni mwa maafisa wa wizara hiyo walioathirika na virusi vya corona wamo askari 18, suala ambalo limezidisha wasiwasi wa kusambaa zaidi virusi hivyo katika jeshi la Marekani.

Habari hii ya kuwekwa karantini Waziri wa Ulinzi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Chadema yawatimua Dk Kitila, Mwigamba

>Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) imewafukuza uanachama, aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho, Mkoa wa Arusha, Samson Mwigamba na aliyekuwa Mjumbe wa Kamati Kuu, Dk Kitila Mkumbo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ghana yawatimua Muntari na Boateng

Wachezaji wa Ghana Sulley Muntari na Kevin Prince Boateng wamefukuzwa kwa kukosa nidhamu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani