Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sudan yawatimua maafisa wa UN

Umoja wa mataifa unasema kuwa Sudan imewafukuza maafisa wake wawili wakuu kutoka nchini humo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Venezuela yawatimua maafisa wa Marekani

Rais wa Venezuela,Nicolas Maduro amewatimua maafisa wa ubalozi wa Marekani akiwashutumu kuwaunga mkono wapinzani

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yawatimua watumishi watano

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imewatimua kazi wafanyakazi wake watano na kuwasimamisha wengine 10 kutokana na kufanya hujuma mbalimbali, ikiwamo kughushi hati za viwanja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Newcastle yawatimua Carver,Stone

Timu ya soka ya Newcastle United imemtimua kocha wake mkuu John Carver pamoja na msaidizi wake Steve Stone

 

11 years ago

Mwananchi

Chadema yawatimua Dk Kitila, Mwigamba

>Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) imewafukuza uanachama, aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho, Mkoa wa Arusha, Samson Mwigamba na aliyekuwa Mjumbe wa Kamati Kuu, Dk Kitila Mkumbo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ghana yawatimua Muntari na Boateng

Wachezaji wa Ghana Sulley Muntari na Kevin Prince Boateng wamefukuzwa kwa kukosa nidhamu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Serikali yawatimua watano TRA

SERIKALI iliwafukuza kazi watumishi watano wa Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA) mwaka jana baada ya kubainika kuwa walihusika kuandika taarifa zisizo sahihi juu ya mali zilizokuwemo ndani ya baadhi ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Afrika Kusini yawatimua wageni 400

Afrika Kusini imeanzisha operesheni ya kuwafurusha raia wa mataifa mengine ya Afrika kufuatia vurumai za kibaguzi zilizoibuka dhidi ya wageni katika taifa hilo hivi majuzi.

 

11 years ago

Mwananchi

Kinondoni yawatimua kazi watumishi tisa

Baraza la Madiwani la Manispaa yaa Kinondoni jijini Dar es Salaam limewafukuza kazi watumishi wake tisa kati ya 11 kwa madai ya matumizi mabaya ya madaraka.

 

10 years ago

Mwananchi

Kamati ya Zitto yawatimua vigogo wa TPDC

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), jana iligeuka ‘mwiba mkali’ kwa watendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Kampuni ya Ranchi ya Taifa (Narco) na Wizara ya Nishati na Madini, baada ya kuwatimua wakurugenzi na wenyeviti wa bodi kwa kushindwa kutoa maelezo ya kina kuhusu ubadhirifu wa fedha za umma, uzembe na wizi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani