Serikali yawatimua watano TRA
SERIKALI iliwafukuza kazi watumishi watano wa Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA) mwaka jana baada ya kubainika kuwa walihusika kuandika taarifa zisizo sahihi juu ya mali zilizokuwemo ndani ya baadhi ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Serikali yawatimua watumishi watano
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imewatimua kazi wafanyakazi wake watano na kuwasimamisha wengine 10 kutokana na kufanya hujuma mbalimbali, ikiwamo kughushi hati za viwanja.
10 years ago
Habarileo12 Jul
TRA kukaza buti kuipatia serikali fedha
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imedhamiria kufikia malengo yake katika ukusanyaji wa kodi ili kuiwezesha serikali kufikia mahitaji yake ya Sh trilioni 22.3 iliyojiwekea kwa bajeti ya mwaka wa fedha 2015/2016.
10 years ago
BBCSwahili26 Dec
Sudan yawatimua maafisa wa UN
Umoja wa mataifa unasema kuwa Sudan imewafukuza maafisa wake wawili wakuu kutoka nchini humo.
11 years ago
BBCSwahili17 Feb
Venezuela yawatimua maafisa wa Marekani
Rais wa Venezuela,Nicolas Maduro amewatimua maafisa wa ubalozi wa Marekani akiwashutumu kuwaunga mkono wapinzani
11 years ago
BBCSwahili26 Jun
Ghana yawatimua Muntari na Boateng
Wachezaji wa Ghana Sulley Muntari na Kevin Prince Boateng wamefukuzwa kwa kukosa nidhamu.
10 years ago
BBCSwahili10 Jun
Newcastle yawatimua Carver,Stone
Timu ya soka ya Newcastle United imemtimua kocha wake mkuu John Carver pamoja na msaidizi wake Steve Stone
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Chadema yawatimua Dk Kitila, Mwigamba
>Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) imewafukuza uanachama, aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho, Mkoa wa Arusha, Samson Mwigamba na aliyekuwa Mjumbe wa Kamati Kuu, Dk Kitila Mkumbo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-f2kKwjtcNAI/Xn3m8E7LhaI/AAAAAAALlSc/b4cT0al0XuAaSyrFQV4tyP0K0pOzwqjqwCLcBGAsYHQ/s72-c/1bf8ccf2-4a41-4fbe-b096-b9b357137a8d.jpg)
JESHI LA POLISI DAR LAWASHIKILIA WATU WATANO WALIOMKATA MAPANGA NA KUMPORA OFISA WA SERIKALI, WALIOBIWA LAPTOP WAITWA POLISI
Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii
WATU Watano ambao ni maarufu kwa ukataji watu mapanga maeneo ya Tegeta jijini Dar es Salaam wanashikiliwa na Jeshi la Polisi baada ya kukamatwa kutokana na uporaji walioufanya katika nyumba ya Ofisa wa Serikali Victor Nelson Nyirenda ambaye kabla ya kumpora walimkata mapanga kichwani.
Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa amewataja watuhumiwa hao leo Machi 27,2020 kuwa ni Juma John( 27), Japhet Charles( 25), Victor ...
WATU Watano ambao ni maarufu kwa ukataji watu mapanga maeneo ya Tegeta jijini Dar es Salaam wanashikiliwa na Jeshi la Polisi baada ya kukamatwa kutokana na uporaji walioufanya katika nyumba ya Ofisa wa Serikali Victor Nelson Nyirenda ambaye kabla ya kumpora walimkata mapanga kichwani.
Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa amewataja watuhumiwa hao leo Machi 27,2020 kuwa ni Juma John( 27), Japhet Charles( 25), Victor ...
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Kamati ya Zitto yawatimua vigogo wa TPDC
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), jana iligeuka ‘mwiba mkali’ kwa watendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Kampuni ya Ranchi ya Taifa (Narco) na Wizara ya Nishati na Madini, baada ya kuwatimua wakurugenzi na wenyeviti wa bodi kwa kushindwa kutoa maelezo ya kina kuhusu ubadhirifu wa fedha za umma, uzembe na wizi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania