Serikali kumchunguza DC wa Karagwe
SERIKALI imepokea tuhuma dhidi ya Mkuu wa Wilaya ya Karagwe, Darry Rwegasira za madai ya kuwanyanyasa wananchi wa wilaya hiyo na kuwapa kipaumbele wahamiaji haramu kutoka Rwanda.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili03 Jun
Maafisa wa Marekani kumchunguza Blatter
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uCeLa4uwiH-nKoOnS7*RqszZmfJX1a3POuqT7LHuXWXfpN*9pLz9Uioe3WAwnqyi12jJsLY2QOZVbvMGfgLN1-Xq-oXr-Q1L/2.jpg?width=650)
KUNA UMUHIMU WA KUMFUATILIA, KUMCHUNGUZA MPENZI WAKO?
11 years ago
BBCSwahili28 Dec
Mali kumchunguza rais Toure kwa uhaini
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pEW3hs-ayjY/VXncRILwGUI/AAAAAAAAd18/M6HN2IQKGcs/s72-c/23.jpg)
KINANA KARAGWE
Akabidhi pikipiki tano
Asisitiza kuimarisha Chama cha Mapinduzi
Ameahidi kusimamia haki na kutetea wanyonge
![](http://4.bp.blogspot.com/-pEW3hs-ayjY/VXncRILwGUI/AAAAAAAAd18/M6HN2IQKGcs/s1600/23.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Xd3OiUMlyyA/VXncRaHo4vI/AAAAAAAAd2A/sV5G6DsQNXQ/s640/24.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NXgQMmpfhwQ/VXncL_izxaI/AAAAAAAAd10/p7wNnmPTNHw/s640/25.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima24 May
DC wa Karagwe apata ajali
MKUU wa Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera, Darry Rwegasira amepata ajali katika Kijiji cha Kalebezo, Kata ya Nyamirembe Wilayani Chato mkoani Geita juzi. Akizungumza kwa njia ya simu na Tanzania...
10 years ago
Mtanzania16 May
Mbunge amtisha DC Karagwe
Na Arodia Peter, Dodoma
MBUNGE wa Karagwe (CCM), Gozibert Blandes, amemtishia kumfanyia kitu kibaya Mkuu wa Wilaya ya Karagwe, Dari Rwegasira, kutokana na kuwapendelea wahamiaji haramu kutoka Rwanda.
Mbali na hilo pia mbunge huyo ameitaka Serikali kumhamisha.
Blandesi alitoa vitisho hivyo bungeni jana wakati akichangia bajeti ya ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka 2015/2016.
Alisema Rwegasira amekuwa mstari wa mbele kunyanyasa wananchi kwa kuwanyang’anya ardhi katika vijiji vilivyo mpakani na...
11 years ago
Dewji Blog15 Jul
Waliokwepa sekondari kukiona Karagwe
Mkuu wa wilaya ya Karagwe, Darry Rwegasira akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) ofisini kwake.
Na Daniel Makaka, Sengerema.
Mkuu wa wilaya ya Karagwe, Darry Rwegasira, amewaagiza Watendaji wa Kata kuwaorodhesha wazazi waliogoma kuwapeleka watoto wao shule baada ya kuchaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2014 ili waweze kuchukuliwa hatua.
Watahiniwa waliofaulu mtihani wa elimu ya msingi mwaka 2013 ni 6,806 sawa na asilimia 50.9%, ambao kati ya hao wavulana ni 3,188 na...
10 years ago
Tanzania Daima09 Dec
Karagwe:Mapinduzi KDCU yametufariji
WANAUSHIRIKA wanaounda Chama Kikuu cha Ushirika cha wilaya za Karagwe na Kyerwa (KDCU), mkoani Kagera, wameonyesha furaha yao kutokana na kuondolewa kwa bodi ya chama hicho na wajumbe wake kuzuiwa...
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Maaskofu KKKT Karagwe wacharuka
MAASKOFU, wachungaji na waumini wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, wamecharuka na kuvamia Kituo cha Polisi cha Karagwe wakipinga Mchungaji wao, Jackson Kanyiginya, kunyimwa dhamana...